UIMAMU

Uimamu: kwa maana ya kilugha ni masdari  (chimbuko) kwa kipimo cha .( ÝöÚÇáÉ )   ambalo ni mudha'afu, na husemwa:

(Ãóãøó ÇáÞæã  æÈÇáÞæã  íÄõãåã  ÃóãøóÇð  æÅãÇãÇð  æÅãÇãÉ¡  ãËá : ßÊÈ  íßÊÈ  ßóÊúÈÇ ð æßöÊÇÈÇ ð æßÊÇÈÉ.)

Na jina la mtendaji litokanalo na kitendo ( Ãã - íÄã) ni (( Âã asili yake ni (ÃÕáå Âãã )  kisha mim moja ikaunganishwa na mim nyingine (ikafanyika idghamu).

Lakini hutumika sana masdari ya kitendo hicho kwa maana ya jina la mtendaji, kwa hivyo husemwa: Imam kwa swigha ya kiume na kike kwa ajili ya mwanamume na mwanamke, na wingi wake ni (ÃíãÉ) kwa (yee), na ( ÃÆãÉ )  kwa Hamzah.

Na maana yake-kutokana na kamusi-ni uongozi au mtu anaefuatwa kauli zake na matendo yake, sawa awe kwenye haki au batili.

Na neno  hilo limetumika ndani ya Qur'an  tukufu  kwa  Imam wa haki au mwenye kuongoza kwenye haki kama kauli hii ya Allah isemavyo: (

æÌÚáäÇåã ÃÆãÉ íåÏæä ÈÃãÑäÇ)  (Na tukawafanya viongozi waongozao kwa amri zetu) (suratul-anbiyaai: 63).

Pia hutumika kwa kiongozi wa batili kama kauli ya Mwenyezi Mungu isemavyo: ( ÝÞÇÊáæÇ ÇÆãÉ ÇáßÝÑ)  (Basi wapigeni vita viongozi wa kufru).  (Suratut- tawbah aya 12).

Na kwa mujibu wa elimu ya Akida: Bwana Nasiirud-dini Tuusiy ameuarifisha Uimamu kwa kauli yake isemayo: Uimamu ni: Uongozi wa ujumla wa kidini unao jumuisha na kuhusiana na kuwavutia watu wote katika kulinda maslahi yao ya kidini na kidunia na kuwazuia  pia kuwakemea kunako mambo yenye kuwadhuru kidini na kidunia. (Qawaidul-aqaid ukurasa  457).

Na bwana Al-hilly ameuarifisha kwa kauli yake isemayo: Uimamu ni: Uongozi wa ujumla katika mambo ya dini na dunia na ambao hushikwa na mtu mmoja wapo kati ya watu kadhaa kwa niaba ya Mtume (s.a.w).

Na  bwana Al-adhdu Al-iijiy ameuarifisha kwa kusema: Ni kushika nafasi ya Mtume baada ya kufariki kwake katika kuisimamisha dini kiasi kwamba ni wajibu kwa watu wote kumfuata (Imamu huyo) na ni wajibu Umma  wote kumfuata na kumtii.  (Al-babul-hadii asharah /46).

Na bwana Al-maarudiy ameuarifisha kwa maneno yafuatayo: Uimamu umewekwa ili kuchukua nafasi ya utume baada ya Mtume katika kuilinda dini na kuiongoza dunia).  (Al-islaam wal-khilafa 19/ akinukuu kutoka kwenye kitabu: Al-ahkaamus-sultaniyyah 3).

Na tukizingalia kwa makini taarifa hizi zilizo tajwa na mfano wa hizi  inabainika  kwamba Mashia husisitiza ya kuwa Uiamamu unahusiana na tawala mbili katika majukumu yake na wadhifa wake: Utawala wa kiroho na Utawala wa kizama (kidunia).

Na kwa Ibara nyingine ya kisheria  (kisiasa) Al-maddiy Uimamu unazihusu tawala mbili: Utawala wa kidini na Utawala wa kisiasa, na imesisitizwa hivyo kwa sababu Ahli sunna-kama tutakavyo taja hapo baadae na kama tutakavyo ona- waliuhusisha wadhifa wa Imamu na mambo ya kisiasa pekee.

Na hapa inakuja taarifa ya Al-iijiy-ambae ni mmoja wapo kati ya wanazuoni wa akida wa Ahli sunna- asie fuata na kushikamana na waliyo nayo Ahli sunna.

Na kumekuwa na tofauti kataka suala la Uimamu: Je ni katika misingi ya dini (Usulud-dini) au matawi ya dini (Furuu'ud-dini)?

As'habi zetu wa imamiyyah walishikamana na kauli ya kwanza (ya kuwa Uimamu ni katika Usulud-dini), Ustadhi wetu Shekh Mudhaffar amesema: (Tunaitakidi ya kuwa Uimamu ni msingi moja wapo kati ya misingi ya dini)  (Akaidul-imamiyyah/ 93).

Na Ahlisunna wameshikamana na kauli ya pili, bwana Al-adhdu Al-iijiy amesema: (Al-marsadur-raabiu fil-imamati wa mabahithiha, (Kwetu Uimamu ni katika matawi ya dini, na tumeutaja na kuuelezea kwenye elimu ya Akida  kwa kufuata nyayo za wale walio tutangulia.  (Al-mawaaqif 395).

Na bwana Aamudi amesema: (Na fahamuni ya kuwa itikadi katika suala la Imamah si katika misingi ya dini (Usulud-dini) (Ghaayatul-maraam/ 363).

Na kama walivyo tofautiana ya kuwa Uiamamu ni katika Usulud-dini au Furuu'ud-dini, pia wametofautiana katika suala la kuwa Uiamamu ni wajibu kuwepo au laa.

Kwa maana kuwa: Je ni wajibu kumuweka Imamu wa Waislaamu au sio wajibu?.

Baadhi ya Makhawariji wakashikamana na kauli kwamba sio wajibu…

 Na wengine walio bakia wakasema ya kuwa ni wajibu kuwekwa Imamu wa Usilaam. Na walioshikamana na kauli ya kuwa ni wajibu walitofautiana kuhusiana na dalili yake (namaanisha dalili ya uwajibu wa kuteuliwa na kuwekwa kwa Imam) na walitofautiana juu ya kauli mbili:

1-Ahli sunna wanasema kuwa: Kuteuliwa na kuwekwa Imamu ni wajibu kutokana na dalili ya kusikia na sio kutokana na dalili ya kiakili, kwa maana kwamba dalili ya kuwa wajibu ni dalili ya kunukuu si dalili ya kiakili.

2-Muutazila na Shia wakashikamana na kauli isemayo kuwa kuwekwa kwa Imamu ni wajibu  kutokana na dalili ya kiakili, kwa maana kuwa dalili ya kuthibitisha kuwa kuwapo kwake ni wajibu ni dalili ya kiakili.

Kisha wale wasemao kuwa ni wajibu kiakili wakatofautiana kuhusiana na yule ambae inawajibika kwake kumuweka Imamu katika kauli mbili:

1-Muutazila wao wakasema ya kuwa ni wajibu juu ya  Ukalaa'u (watu wenye akili na  busara), na wenzi wao katika kauli hii ni Ahli-sunna.

2- Imamiyyah na Ismailia wakashikamana na kauli isemayo kuwa ni wajibu kwa Mwenyezi Mungu kumuweka Imamu.

 Na wale wasemao kuwa ni wajibu kwa Mwenyezi Mungu wakatofautiana kuhusiana na lengo la kufanya hivyo na walitofautiana katika uwajibu  huo katika kauli mbili kama zifuatazo:

1-Imamiyyah wao wakasema kuwa: Ni wajibu kwa ajili ya kuhifadhi na kulinda kanuni za kisheria.

2-Ismailiyah  wao wakasema kuwa ni wajibu  ili awe ni mtu mwenye kumtambulisha Mwenyezi Mungu mtukufu.

Na twaweza kutoa muhtasari wa kauli hizo kama ifuatavyo:

Tunatoa muhtasari kutokana na kauli hizi, pia ya kuwa katika mas'ala haya kuna kauli mbili za msingi kama zifuatazo:

1-Ni kwamba kuwekwa kwa Imamu hufanyika kwa njia ya watu kumchagua. Na hii ni kauli ya Al-muutazila na Ahli-sunna na Maibadhi.

2-Ni kwamba kuwekwa kwa Imamu hufanyika kwa njia ya kumteua kwa dalili ya wazi kutoka kwa Mwnyezi Mungu mtukufu, na hiyo ndio kauli ya Shia.

Ufafanuzi wa dalili ya Ahlisunnah:

Bwana Al-adhdi Al-iijiy amesema: (Ama kuwa kwake wajibu juu yetu kwa kusikia ni kutokana na sababu mbili: Ya  kwanza ni kwamba kuna Ijmai ya waislaam iliyo Mutawaatir na iliyo patikana mwanzoni tu baada ya kufariki Mtume (s.a.w) ili kuzuwia usibakie wakati wowote  bila ya kuwa na Imamu, mpaka Abubakar (Radhiya llahu anhu) akasema katika hotuba yake:

(Fahamuni ya kuwa Muhammad amekufa, na hapana budi dini hii iwe na mtu mwenye kuisimamia) na watu wote wakaharakia kumkubali yeye, na kumuachia mambo muhimu ili aweza kuyatekeleza, nalo ni kumzika Mtume (s.a.w).

Na watu walibakia katika hali hiyo na mwendo huo katika zama zote hadi katika zama zetu hizi mwendo wa kumuweka Imamu mwenye kufuatwa katika kila zama.

Na ikiwa itasemwa kuwa: Ijmai nilazima iwe na dalili ya kusihi kwake, na lau kama ingekuwa basi inge nukuliwa na kutufikia, kutokana na kuwepo sababu za kufanya hivyo.

Tutasema: Hawakuwa na haja ya kuinukuu kutokana na Ijmaai, au ilikuwa ni kama mfano wa jambo ambalo haiwezekani kulinukuu kutokana na alama za hali ambazo haiwezekani kuifahamu isipokuwa kwa kuishuhudia na kuiona bayana kwa yule mtu alie kuwepo katika zama za Mtume (s.a.w).

Pili: Ni kuwa kufanya hivyo kuna kuepusha madhara yaliyo kuwa yakitarajiwa na kwamba ni wajibu kufanya hivyo kutokana na Ijamaai.

Ufafanuzi wake: Hakika sisi tunafahamu na tunayo maarifa ambayo yanakaribia kuwa ni ya lazima ya kuwa makusudio ya muwekaji wa sheria katika sheria alizo ziweka na kati ya sheria zihusianazo na Muamala, Nikahi, Jihadi, Hududi na kulipiza kisasi na kudhihirisha shiari na alama za muweka sheria katika  siku kuu na siku za ijumaa, hakika alifanya hivyo kutokana na  maslahi ya wanadamu katika maisha yao ya dunia na katika Akhera yao, na hayo hayatimii na kuthibiti isipokuwa kwa kuwepo Imam ambae huwekwa kisheria na watu kurejea kwake katika mambo yenye manufaa kwao, hakika wao –pamoja na kutofautiana kwao kimatakwa na kirai, kuwepo tofauti na mambo ya ugomvi yajitokezayo kati yao-nikidogo sana baadhi kuwafuata wengine kama viongozi, na hilo hupelekea kuzozana na kupigana, na   huenda likapelekea wote kuangamia, na uzoefu ndio ushahidi tosha juu ya  hilo, na fitna itokeayo pindi watawala wanapo fariki hadi kufikia kuteuliwa mwingine kiasi kwamba lau muda unge endelea kurefuka bila kuwepo kiongozi basi harakati za maisha zinge simama, na kila mmoja angekuwa ni mwenye kushughulika na kulinda mali yake na nafsi yake chini ya upanga wake, na kuto mteua Imam hupelekea dini kupotea na waislaam wote kuangamia.

Ikiwa itasemwa kuwa: Kuna madhara katika hilo na kwamba hilo limepingwa kwa kauli yake Mtume (s.a.w) isemayo:

 (áÇ ÖÑÑ æáÇ ÖÑÇÑ Ýí ÇáÇÓáÇã)

(Hakuna madhara wala kudhuriana katika Uislaam).

Na ufafanuzi wake unakuwa katika njia tatu:

Ya kwanza: Ni mtu kumuongoza mtu mwingine na kumhukumu au kumuongoza kwenye mambo yenye uongofu na yasiyo na uongofu kwa ajili ya kumtia madhara na si vinginevyo.

Ya pili: Baadhi ya watu huenda wakapinga na kumfanyia kiburi, kama ilivyo zoeleka, na hilo hupelekea kutoke kwa  fitina.

Ya tatu: Nikuwa si wajibu kuwa maasumu (alie hifadhika na kuepuka na makosa- kama tutakavyo elezea hapo baadae- kwa mfano akawa ni kafiri au muovu, ikiwa hakuzuiliwa atausababishia umma madhara kutokana na ukafiri wake na uovu wake, na ikiwa atazuiliwa itapelekea kutokea kwa fitina.

Tutajibu na kusema: Madhara yatakayo patikana kwa kumuacha kwake ni mengi zaidi na kuondoa madhara makubwa pindi kunapotokea msongamano kati ya vitu viwili ni wajibu. (Al-mawaaqif 395-396).

Ufafanuzi wa dalili ya Mshia:

Bwana Faadhil Al-miqdaad amesema: Hakika Uimamu ni upole (Lutfu) wa Mwenyezi Mungu na kila lutfu ni wajibu kwa Mwenyezi Mungu, kwa hivyo basi Uimamu ni wajibu kwa Mwenyezi Mungu mtukufu.

Ama Utangulizi mkubwa (kubraa) wa dalili hii ufafanuzi wake umetangulia. Ama Utangulizi mdogo (Sughraa) wa dalilim hii ni kuwa Lutfu-kama ujuavyo- ni jambo limkaribishalo mja kwenye utiifu na kumuepusha na uasi, na maana hii inapatikana katika Uimamu.

Ufafanuzi:

Hakika mwenye kufahamu matokeo na mzunguuko wa zama na kuwa na uzoefu wa mambo ya kisiasa, anajua vema ulazima wa watu kuwa na kiongozi au Raisi mwenye kusikilizwa na kutiiwa na mwenye kuwaongoza watu kwa kuwapatia mwongozo, mwenye kumkemea dhalimu na kumzuia kufanya uovu wake na kuchukua haki ya mwenye kudhulumiwa kutoka kwa dhalimu, pamoja na hayo kuwaongoza kwa mujibu wa kanuni za kiakili na wadhifa au majukumu ya kidini na kuwazuia kufanya ufisadi upelekeao kuwepo kwa  kasoro katika nidhamu na mfumo wa utawala katika mambo yao ya kimaisha na kuwazuia kunako mambo mabaya yapelekeyo kukumbana na mabalaa na maangamio katika Akhera yao, kiasi kwamba kila mmoja akawa ni mwenye kuogopa kuadhibiwa kwa kufanya makosa yale.

Kwa kufanya hivyo watu hao watakuwa karibu zaidi na wema au kuongoka na watakuwa mbali zaidi na ufisadi, na tusemapo Lutfu  (upole) hatuna maana nyingine isipokuwa hiyo, kwa hivyo Uimamu una kuwa ni Lutfu ya Allah (Upole wa Allah) na hilo ndio litakiwalo.

Fahamu kwamba: Kila dalili ithibitishayo uwajibu wa kuwepo Utume basi dalili hiyo hiyo ni yenye kuthibitisha uwajibu wa kuwepo Uimamu kwani Imamu ni mshika makamu ya Mtume, na mwenye kusimama mahala pake isipokuwa katika suala la kupokea Wahyi wa Mwenyezi Mungu bila ya kuwepo kiunganishi, kwa hivyo kama ambavyo utume ni wajibu juu ya Mwenyezi Mungu mtukufu katika hekima , pia hili la Uimamu ni hivyo hivyo.  (An-naafiu yawmal-hashri / 67-68).

Na tofauti hii iliyopo kwenye madhehebu mbili kuu ya kishia na kisunni inarejea kwenye upana na ufinyu wa upande yanapo kutana kati ya utume na uimamu.

Kwa maana kuwa Mashia wanaona kuwa miongoni mwa wadhifa wa Imamu ni kuendeleza kazi ya Mtume, kama ambavyo wadhifa na jukumu la Mtume likithibitika na kuendelea katika kutekeleza majukumu ya tawala mbili ya kidini na kidunia, na kwamba uongozi au utawala wa kisiasa ni sehemu ya dini na sio ijtihadi binafsi ya Mtume kwa sababu Mtume- katika rai yao au kwa maoni yao-haiwezekani ikarejea kwenye ijtihadi, kwa sababu ijtihadi inauwezekano wa kukosea, na kwamba natija yake ni ya kidhanna, na Mtume ni maasumu na masumu hakosei.

Kwa kuongezea kwenye dalili hiyo ni kuwa: Hakika hukumu zake ambazo huzisimamia na kuzitekeleza kwa sifa yake kama Raisi wa dola, yaani kama kiongozi wa kisiasa ni hukumu za kweli, kwa maana kuwa ni elimu ya yakini na hakuna nafasi ya dhanna kwenye hukumu hizo, kwa sababu zimetokana na kufahamu ukweli wa mambo ulivyo na ni kutokana na kufahamu maudhui ya hukumu na hukumu zenyewe, na si hukumu zilizotokana na kutumia wasila wa ijtihadi wasila ambao huenda ukapatia au ukakosea, na hilo linatokana na yeye kuungana na ufunuo (wahyi), na kuto tokea kwa tendo lolote lililo kinyume na yale atelemshiwayo kwenye wahyi, kwa hivyo basi kiukweli kabisa yeye hahitajii kufanya ijtihadi, kwa sababu ijtihadi ni njia imfikishayo mtu kwenye hukumu yule mtu ambae hana njia nyingineyo yenye kutumainiwa na kuaminiwa kuwa hakuna kujikwaa na kukosea na inadhamana ya kupatia na kuifikia hukumu yenyewe ya kweli, nayo si nyingine bali ni njia ya wahyi.

Vilevile jukumu la Imamu linathibiti kwa kusimamia kwake tawala mbili: Utawala wa kidini na kisiasa, wakati ambapo Ahlisunna wao wameshikamana na kauli isemayo kuwa Uimamu ni jukumu na wadhifa wa kisiasa na hutegemea ijtihadi ya Imamu, kama Mtume alivyokuwa- kwa mtazamo wao- akitegemea katika siasa zake kwa sifa yake kama Raisi wa dola akijitegemeza kwenye ijtihadi, na wanasema hivyo kutokana na ukweli kuwa wao walitenganisa kati ya hukumu za dini na hukumu za kisiasa, na wakamili katika rai ya kumwona Mtume kuwa ni mwenye kufanya ijtihadi katika mambo ya kisiasa na kila jambo lihusianalo  na utawala wake wa zama zile,  Ibnu Al-qayyim amesema:

Siasa ni kila ambalo  kuwepo kwake hupelekea watu kuwa karibu zaidi na mema na kuwa  mbali na ufisadi, hata kama halikuwekwa na  Mtume wala halikushushwa na wahy, na mwenye kusema ya kuwa hakuna siasa isipokuwa ile iliyo tamkwa na sheria ya Allah kwa hakika amekosea na amewakosesha masahaba) (amewatia makosani)  (Az-zaydiyyah 30 wannas ibnul-qayyim manquul an turuqil-hukmiyyah fis-siyaasati shar'iyyah/ ukurasa 7).

Kwa hivyo- kama ilivyo bainika hapo mwanzo Ahli-sunna- wanatenganisha kati ya hukumu za dini na hukumu za kisiasa , na kauli iliyo maarufu hivi sasa katika fikra ya sheria ya zama hizi ni kauli ijulikanayo kwa jina la (Nadharia ya kutenganisha kati ya dini na siasa).

Kutokana na haya tunatoa muhtasari kama ifuatavyo: Ni kwamba Mashia walishikamana na kauli na kusema kuwa ni wajibu kuwekwa Imamu kwa nassi au kuteuliwa na Mwenyezi Mungu, kwa sababu Imamu kwao ni muendelezaji wa majukumu na kazi ya utume kiroho na kisiasa, kama vile ambavyo nabii (Mtume) huteuliwa na Mwenyezi Mungu, vile vile Imamu.

Ama Ahli-sunnah kutokana na ukweli kuwa wao walitenganisha kati ya tawala mbili hizi utawala wa kiroho na wa kizama  (kisiasa) na wakamzingatia Imamu ya kuwa husimamia  wadhifa wa Mtume wa kizama au kisiasa, nao hujitegemeza kwenye ijtihadi, walisema ya kuwa Imamu huwekwa kupitia njia ya kuchaguliwa na watu.

Na doctor Ahmad Subhiy katika kitabu chake kiitwacho (Az-zaydiyyah) alijaribu kuwatetea Ahli sunna na kuto wanasibishia kauli ya kutenganisha kati ya dini na dola kwa kusema:

(Ni makosa kufikiria kuwa msimamo wa Ahli sunna ni kutenganisha kati ya Siasa na dini, si vinginevyo bali hilo ni kutenganisha kati ya sheria ambazo chimbuko lake ni kitabu na sunna na siasa iliyo simama juu ya msingi wa Ijtihadi ambayo dauru lake au msingi wake ni chanzo kimoja wapo kati ya vyanzo vya sheria katika Uislaam, na halikufahamika suala la kutenganisha kiukamilifu kati ya Siasa na dini isipokuwa baada ya kuanguka khilafa ya Othumaniyyah, na kuathirika na fikra ya kisiasa ya Europ) (1)

La kushangaza ni kuwa Doctor Subhi hakuweza kutofautisha kati ya chanzo na nyenzo (Wasila), kwa kawaida Ijtihadi –ni nyenzo (wasila) aitumiayo mujtahidi kwa ajili ya uchambuzi na kutoa hukumu ya kisheria kutoka kwenye vyanzo vyake ambavyo ni kitabu na sunna- vikiwa ni vyanzo kati ya vyanzo vya kisheria.

Na nadhani kuwa mambo yalimchanganya na kuto pambanua kati ya Qiyaasi na mfano wa Qiyaasi kati ya vyanzo vingine tofauti na kitabu na sunna, na kati ya ijtihadi, na hakufahamu ya kuwa ijtihadi ni njia aitumiayo mujtahidi kwa ajili ya kuchukua hukumu kutoka kwenye vyanzo hivi.

Kwa mfano Qiasi, Ijtihadi na Istihsaani na mfano wa hivyo ni vitu vilivyo simama na kujitegemea kama vile kitabu na sunna, na tofauti iliyopo ni kwamba mtu ambae si mujtahidi hana uwezo wa kufaidika na kuvitumia kupata hukumu kutoka kwenye vyanzo hivyo, na kinyume chake yule ambae ni mujtahidi ana uwezo wa kuitumia ijtihadi yake kufaidika na vyanzo hivyo ili kupata hukumu na kutoa hukumu ya kisheria.

Pamoja na yote yaliyo tangulia Mashia na masunni wote waliitumia Qur'ani tukufu kama dalili juu ya kuthibitisha rai zao katika kuthibitisha uwajibu wa kumuweka Imamu, kwa uteuzi wa Mwenyezi Mungu au kwa uchaguzi wa watu.

DALILI YA AHLI SUNNA:

Ahli sunna walitoa dalili ya kauli yake Mwenyezi Mungu

 (æÃãÑåã ÔæÑì Èíäåã)

(Na mambo yao ni mashauri kati yao) (surat shuraa aya 38).

Na neo Shuraa –kilugha- ni jina kwa maana ya mashauriano, husemwa:

 (ÔæÑì æãÔÇæÑÉ æÊÔÇæÑ æãóÔõæúÑóÉó - ÈÖã ÇáÔíä æÓßæä ÇáæÇæ - æãóÔúæóÑóÉ - ÈÓßæä ÇáÔíä æÝÊÍ ÇáæÇæ -. )

Inamaana ya  kufanya  mazungumzo kwa baadhi kuwarejelea wengine kwa ajili ya kupata rai moja.

Na maana hiyo inatokana na kauli yao isemayo (ÔÑÊ ÇáÚÓá ) kwa maana ameitoa asali kwenye masega yake na kuinyambua na kuitoa mahala pake.

Na pia hutumika katika jambo ambalo hushauriana kwalo, husemwa (ÕÇÑ åÐÇ ÇáÔíÁ ÔæÑì Èíä ÇáÞæã ) kwa maana wameshauriana kuhusu suala hilo.

Na imetajwa katika sababu ya kushuka kwa aya hii tukufu kwamba Ma'answaari kabla ya Mtume kuhamia Madinatul-Munawwarah pindi walipokuwa wakiazimia au wakitaka kufanya jambo Fulani hufanya mashauriano kuhusu jambo hilo kisha hukata shauri na kulitekeleza jambo hilo, na Mwenyezi Mungu akawasifia kwa tendo  lao hilo.

Na aya hiyo huitolea dalili kama ifuatavyo: Hakika aya tukufu ni (Mutlaq) kwa sababu   mahala ilipo telemka au mahala ilipo shuka hapa sio dalili ya kuitilia aya (Qaidi) sharti la kuihusisha tu na mahali hapo ilipo telemka.

Na aya kuwa Mutlaq inatulazimu kuitumia na kuitwabikisha juu ya kila jambo ambalo linahitajia kufanya mashauriano isipokuwa hukumu na hududi za sheria kwani hizo zimetoka kwenye uzio wa aya hiyo kwa dalili ya Takhassus kwa dalili ya kiakili  yenye kuhukumu kuwa kuto kuwa nje ya Itlaqi  aya hiyo hukumu na hududi itapelekea kubatilika kwa uwekaji wa sheria na kuwa kuwekwa kwa sheria kuonekane kuwa ni jambo la kipuuzi.

Na kwamba haikupokelewa Nassi au dalili ya kisheria inayo bainisha namna utakavyo kuwa ukhalifa huo na masharti yake na sifa zake ambazo huwachini ya jambo ambalo hutakiwa kufanyiwa mashauriano au mashauri.

Kizingatiwacho katika utoaji wa dalili wa aina hii ni haya yafuatayo:

1-Hakika aya haiko katika nafasi ya kutunga au kuweka sheria, bali aya iko katika madhumuni ya kubainisha umuhimu na thamani ya kushauriana katika mambo ya ujumla ambayo yanahitajia mashauriano.

Na hilo linatulazimisha kuto ichukua na kushikamana nayo ikiwa ndani ya Qur'ani kutakuwa na aya inayo tujulisha na kutufahamisha kuwa ukhalifa ulielezewa na kuwekwa kama sheria kama ilivyo elezwa katika aya ifuatayo ambayo Shia waliitumia kuitolea dalili juu ya jambo hilo.

2-Hakika aya haikubainisha ni akina nani watakao fanya jambo hilo la kushauriana, na kwa msingi huo hapana budi kufanya ihtiyaati ambayo itamuondolea mukallaf dhimma  kutokana na majukumu na mas'uliya ya takliifu na kutoka kwenye majukumu yake kwa kujumuisha pande zote zilizo lengwa na kuyaingiza kwenye kitendo cha kushauriana na kufanya mazungumzo.

Na hili ni jambo ambalo halikuthibiti kihistoria tangu alipo chaguliwa khalifa wa kwanza hadi katika zama zetu hizi, na kutokana na uwazi wa jambo hilo haina haja ya kutoa dalili za kuthibitisha hilo.

DALILI  ZA MASHIA:

Na Mashia walitolea dalili kauli yake Mwenyezi Mungu mtukufu isemayo:

  (æÇÐ ÇÈÊáì ÇÈÑÇåíã ÑÈå ÈßáãÇÊ ÝÃÊãåä ÞÇá Çäí ÌÇÚáß ááäÇÓ ÅãÇãÇð ÞÇá æãä ÐÑíÊí ÞÇá áÇ íäÇá ÚåÏí ÇáÙÇáãíä) - ÇáÈÞÑÉ 124 - .

(Na kumbuka pindi Ibrahimu alipo jaribiwa na Mola wake kwa maneno nae kuyatimiza maneno hayo akasema hakika mimi nimekufanya uwe imamu kwa watu Ibrahim akasema na miongoni mwa kizazi changu je Mwenyezi Mungu akasema Ahadi yangu haiwapati watu madhalimu). (suratul-baqarah aya 124).

Na huitolea dalili aya hii kama ifuatavyo:

1-Hakika aya iko wazi kuhusiana na suala la uimamu hawi yeyote ni Imamu isipokuwa kwa kuwekwa na kujaaliwa na Mwenyezi Mungu mtukufu, yaani kwa kuteuliwa nae Mwenyezi Mungu.

2-Hakika Uimamu ni ahadi ya Mwenyezi Mungu, yaani ni mas'uliyyah na majukumu ya Mwenyezi Mungu suala la kumuainisha Imamu na jukumu hilo halimuhusu isipokuwa yule atakae kuwa na uwezo wa kusimamia jukumu hilo  la uimamu, nayo ni kuwa asiwe ni mwenye kuidhulumu nafsi yake au mtu mwingine, na hilo halithibitiki isipokuwa ikiwa Imamu ni Maasumu (alie hifadhika na kutenda makosa), kwa sababu Ismah ni sifa na hali inayo milikiwa na anayo kuwa nayo mtu wakati wote, na katika mukabala wake ni Uadilifu hakika uadilifu ni sifa ambayo inawezekana kupatikana katika muda Fulani kisha ikatoweka, kwa hivyo katika muda ambao huondoka na kutoweka sifa hiyo wakati huo huo na Uimamu hutoweka, kwa sababu kitu kilicho shurutishwa hutoweka pindi masharti yake yanapo tiweka.

Na imepokelewa katika baadhi ya tafsiri za aya kuwa: Hakika makusudio ya Uimamu katika aya hii ni Utume,  na Sayyidi Twabatwabai aliyajibu maneno hayo kwa kauli yake isemayo: Jibu ni kauli yake Mwenyezi Mungu isemayo: (Çäí ÌÇÚáß ááäÇÓ ÅãÇãÇð) (Hakika mimi nimekufanya uwe ni kiongozi (Imamu) wa watu). Yaani kiongozi mwenye kufuatwa na watu, kwa maana hiyo ndio maana tunakuta wafasiri wengi wamesema kuwa makusudio na maana yake ni Utume, kwa sababu Mtume hufuatwa na umma wake katika mambo ya dini yao, Mwenyezi Mungu mtukufu amesema:

(æãÇ ÇÑÓáäÇ ãä ÑÓæá ÇáÇ áíØÇÚ ÈÇÐä Çááøå) - ÇáäÓÇÁ 63

 (Na hatukumtuma Mtume yeyote isipokuwa atiiwe kwa idhini na ruhusa ya Mwenyezi Mungu) (suratun-nisaai aya 63), lakini maneno hayo si yenye maana yoyote.

Kwanza kabisa, ni kwa sababu kauli yake Mwenyezi Mungu iliposema (ÅãÇãÇð) Neno Imamu ni mtendewa wa pili (yaani maf'uulu thani) wa kitendo ÌÇÚáß) ) na Ismul-faailu (jina la mtendaj) halifanyi kazi likiwa na maana ya muda ulio pita, bali hufanya kazi likiwa na maana ya wakati uliopo (Mudhaariu awil-haali au Istiqbaali)  au muda ujao, kwa kauli yake Mwenyezi Mungu alipo sema

   (Çäí ÌÇÚáß ááäÇÓ ÅãÇãÇð) na uadilifu wake (a.s) ni kuwa atakuwa Imamu katika siku zijazo, pamoja na kuwa huo ni wahyi kwa vyovyote hateremshiwi isipokuwa yule mwenye utume, kwa hakika (a.s) alikuwa ni mtume kabla ya kuvishwa vazi la Uimamu, kwa maana hiyo Uimamu katika aya hii hauna maana ya Utume (Haya yametajwa na baadhi ya wafasiri).

Pili: Ni kwa sababu sisi tumebainisha mwanzoni mwa maneno kuwa: Kisa na tukio la Uimamu si vinginevyo lilikuwa na lilijitokeza mwishoni mwa maisha ya Ibraahim (a.s) baada ya kujiwa na bishara ya kupewa watoto Is'haqa na Ismaili, bali walikuja na bishara  hiyo Malaika walipokuwa njiani kwenda kuwaangamiza kaumu ya Luti, na wakati huo Ibraahim (a.s) alikuwa ni Nabii mursali , kwa hivyo basi alikuwa ni Nabii kabla ya kuwa Imamu, na kwa maana hiyo uimamu wake ni tofauti na Unabii wake.(Al-miizan juzu 1 / 270-271).

Na imepokelewa katika hadithi ya Imamu Swadiq (a.s):

(æÞÏ ßÇä ÇÈÑÇåíã äÈíÇð æáíÓ ÈÇãÇã ÍÊì ÞÇá Çááøå : (Çäí ÌÇÚáß ááäÇÓ ÅãÇãÇð ÞÇá æãä ÐÑíÊí ÞÇá áÇ íäÇá ÚåÏí ÇáÙÇáãíä) ãä ÚóÈóÏó ÕäãÇð Ãæ æËäÇð áÇ íßæä ÅãÇãÇð»(2).

(Hakika Ibrahiim alikuwani ni mtume na sio Imamu hadi pale Mwenyezi Mungu alipo sema: (hakika mimi nimekufanya wewe kuwa Imamu kwa watu akasema na miongoni mwa jamaa zangu je mwenyezi Mungu akasema ahadi yangu haiwapati madhalimu) Mwenye kuabudu sanamu au kitu kingine kisicho kuwa Allah hawi imamu. Na hikiki ni kielelezo alicho kitoa Imamu kinacho wiana na aya hii isemayo :  ((Çä ÇáÔÑß áÙáã ÚÙíã (Suurat luqmaan aya 13).

Na kwa sababu Abubaka Swiddiq (Radhi za Alla ziwe juu yake) kabla ya kusilimu alikuwa ni mshirikina kwa maana hiyo-kama waonavyo- hawi ni mwenye kustahili kushika jukumu la  Imamu wa Mwenyezi Mungu.

Kutokana na ushahidi huu ni kuwa Dalili iliyo toka kwa Mwenyezi Mungu ilikuwa ikihusiana na Uimamu wa Imamu Ali (a.s) kwa sababu yeye hakuwahi kuwa mshirikina au kumshirikisha Mwenyezi Mungu au kuidhulumu nafsi yake kwa kumshirikisha Allah au kufanya kitu kinginecho cha dhulma.

Na maadamu tumefika mahala hapa si vibaya kuielekeza njia ya bahthi yetu hii katika kutaja dalili za pande zote mbili juu ya imamu maalum baada ya Mtume (s.a.w).

DALILI  ZA  AHLI-SUNNA  JUU  YA  UIMAMU WA ABUBAKAR:

 

1-DALILI YA WAZI:

Ahli sunna ambao wanaamini kuwa Mtume alitoa nassi juu ya Abubakar nassi ya wazi walishikamana na hadithi mashuhuri kuthibitisha madai hayo nayo ni kama ifuatayo: (Hakika mwanamke mmoja alikuja kwa Mtume (s.a.w) kumuuliza jambo moja wapo katika ya mambo aliyotaka kumuuliza na mtume kumjibu  na kumtaka arejee kwake wakati wowote atakapo taka, yule mama akasema: Unaonaje nikija na nisikukute? Mtu akasema: Ikiwa hukuni kuta basi mwendee Abubakar).

Na katika hadithi nyingine imepokelewa kuwa:

(ÇÞÊ쾂 ÈÇááÐíä ãä ÈÚÏí : ÇÈí ÈßÑ æÚãÑ)  

(Wafuateni wale wajao baada yangu: Abubaka na Omar).

Na katika hadithi ya Abi hurairah amesema: (  Amesema: Nilimsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w) akisema: Nilipokuwa nimelala nilijiona na kujikuta nikiwa juu ya kisima na juu yake kukiwa na ndoo, nikachota humo kiwango alichokitaka Mwenyezi Mungu, kisha akaichukua ndoo hiyo mtoto wa Abi Quhafah akatoa na kuchomoa humo dhambi moja au madhambi mawili, na katika utoaji wake alikuwa dhaifu, na Mwenyezi Mungu amsamehe udhaifu wake, kisha ikageukia upande wa magharibi, akaichukua Omar mtoto wa Al-khattab, sikumuona mtu mwenye akili ya kiwango cha juu zaidi kati ya watu aliekuwa akitoa nakuchomoa  kama utoaji wa Omar mpaka akawapiga watu…)

2-Dalili iliyo fichika:

Na Ahli sunna wale ambao huitakidi kuwa Uimamu wa Abu bakar ulithibiti kwa dalili ya siri  walilitolea dalili lile tukio mashuhuri, ambalo ni hili lifuatalo:

(Hakika Mtume (s.a.w.w) alipokuwa anaumwa alimuamuru Abu bakar kuwaongoza waislaam katika sala ya jamaa, na sala ni Uimamu mdogo. Kwa hivyo Ni vema zaidi Awe yeye ndie mwenye Kushika Uimamu mkubwa ambao ni uimamu wa kuwaongoza waislaam kidunia na kidini).

Kutokana na dalili hizo mbili majibu huwa kama ifuatavyo:

Kwa hakika kuzitoa kama dalili na uthibitsho nassi hizo kunapingana na yale Ahli sunna walio wengi wanayo yaitakidi ya kuwa Mtume (s.a.w.w) hakuacha wala kumteua khalifa, na kwamba hakutoa dalili yoyote kuhusiana na yeyote kuhusu suala la ukhalifa. Kwa msingi huo:

Hakuna shaka ya kuwa dalili zao zimetofautiana kiasi kwamba haziwezi kuwa ni pingamizi la Nassi na dalili zilizo pokelewa kuhusu kuteuliwa Ali kuwa khalifa kwa dalili za wazi zilizo toka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w) kwa ajili ya Uimamu.

3- Shuraa (Mashauriano):

Nayo ni rai ya Ahli sunna walio wengi ambao wanaitakidi kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu aliliacha suala la uongo wa umma kwa  waislaam wafanye watakavyo ona linafaa.

(Na rai ya waislaam ni kuwa Aba bakar ni wa pili kati ya wawili pindi walipokuwa katika pango, na ni wa mwanzo kuamini kati ya wanaume, kisha ni mtu alie kuwa na usuhuba na Mtume kwa muda mrefu: Na ni mtu wa mwisho alie amuriwa na Mtume (s.a.w.w) kuwasalisha watu ambao ni uimamu mdogo, kwa hivyo jambo hilo lipimeni ya kuwa yeye awe na uimamu mkubwa).(Nash'atul-fikril-falsafiy fil-islaam juzu 2/ 26).

Hizi ndio dalili walizo shikamana nazo ili kuonyesha usahihi wa kuteua kwake uimamu na kumpa kwake kiapo cha utii (Baia). Na haya ndio wayasemayo maulamaa wa zama hizi wa kisunni, na ibara iliyo makini zaidi: Kati ya maulamaa wa zama hizi wa Ahli sunna.

Lakini historia ya elimu ya kalam na Akida kuhusu  suala hili la uimamu au Ukhalifa, katika tukio hili na dalili zake inasema vinginevyo  tofauti na haya yaliyo semwa.

Kwa mfano imeelezwa katika kitabu (Al-milalu wannihalu) cha Shahristaniy- nae akiwa ni miongoni mwa maulamaa wa Ahli sunna- maneno yafuatayo: (Muhajirina na Answari walitofautiana kuhusu suala la ukhalifa (yaani kuhusu Uimamu) Maanswari wakasema: Sisi tuwe na Amiri wetu nanyi muwe na Amiri wenu, na wakakubaliana juu ya kiongozi na raisi wao Saad bin Ubadah Al-answariy, mara Abubakar na Omar wakaja na kuwakuta maanswari wakiwa katika hali ya kuchagua Khalifa-radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yao- wakaja wakati huo na kuhudhuria kwenye Saqifatu bani saidah, na Omari akasema: Nilipokuwa njiani nilikuwa nikipenda kusema maneno Fulani, na tulipo fika katika Saqifah nikataka kuzungumza maneno hayo mara Abubakar akasema: Nyamaza ewe Omar, mara yeye akamhimidi  Mwenyezi Mungu na kumsifu, na akayasema yale niliyo kuwa nikiyapanga moyoni mwangu kuyasema kana kwamba anasema ya ghaibu, na kabla Maanswari hawajaanza kujishughulisha na kazi ya kuongea nikanyoosha mkono wangu kwa Abubakar na kumpa baia (Kumbaai) na watu wakafuatia na kumpa baia na hapo fitina kutulia, ama kwa hakika Baia ya Abubakar ilikuwa ni ya ghafula (haikupangwa), Mwenyezi Mungu aliwaepushia mbali  waislaam shari yake, kwa hivyo basi mwenye kurudi kwenye baia au jambo kama hilo basi muueni, na mtu yeyote atakae mpa mtu mwingine baia bila kufanya mashauri na waislaam hakika watu hao wawili ni watu walio jitia wao wenyewe kwenye matatizo na kujiangamiza ni wajibu kuuwawa wote wawili.

Na si vinginevyo Maanswari walitulia na kuachana na madai yao kutokana na riwaya aliyo isoma Abubakar kutoka kwa Mtume (s.a.w.) isemayo: (ÇáÃÆãÉ ãä ÞÑíÔ) (Maimamu wanatoka katika makuraishi). Na hii ndio baia iliyo fanyika katika Saqifaha.

Kisha alipo rudi  msikitini watu walisongamana na kujazana kwake na kukusanyika na kumpa baia kwa matakwa na ridhaa zao, isipokuwa kikundi kidogo cha bani Hashim, na Abi Sufyaan katika bani Ummayah, na Amiril-muuminiin Ali bin Abi Twalib –radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake-kwani yeye alikuwa ni mwenye kushughulika na suala la Mtume (s.a.w) kama vile kumuandaa kwa ajili ya mazishi na kulazimika kubakia kwenye kaburi lake bila ya kuzozania utawala wala kujitetea na kutetea cheo chake) ( 1/ 24 pia angalia :Maqaalatul-islaamiyiina cha Ash'ariy ukurasa 2 ).

Na kama ionekanavyo wazi kutokana na nassi hii: Kuwa shuura (Mashauriano) kihistoria haikufanyika wala kuthibiti  na katika Saqifah hakukuwa na mkusanyiko ulio kuwa umeunganisha watu wote angalau kwa uchache wenye kujumuisha watu wa kutosha na wenye haki ya kufanya   mashauriano (Shuraa) na kutoa rai zao kati ya watu wale wajulikanao kama Ahlil-halli wal-aqdi (wajuzi wa mambo).

Na kati ya watu walio hudhuria hakuna yeyote alie fahamu kuwa kuna mashauriano au mazungumzo na majadiliano katika kumpendekeza anae stahiki na kufaa kuchukua nafasi hiyo kati ya waislaam.

Bali ilikuwa ni jambo lililo fanywa na kuamuliwa na mashekh wawili (Radhi za Allah ziwe juu yao) ili Uimamu usiwafikie na usichukuliwe na Maanswari.

Pamoja na yote hayo na mengineyo mfumo wa Shuraa uliweza-kwa kuizingatia kuwa ni nadharia tu isiyo na utekelezaji kwa sababu hakuna alie itekeleza, haikupata nuru ya utekelezaji kimatendo- iliweza kuligubika anga la kifikra na kiitikadi katika muda wote wa utawala wa makhalifa watatu.

Na nguvu ya kutawala kwake na kuathiri kwake ilianza kutokana na kauli ya Omar : (Hakika baia ya Abubakar ilikuwa ni ya ghafla Mwenyezi Mungu aliwakinga waislaam sharri yake mwenye kufanya tena baia kama hiyo basi muueni, kwa hivyo basi mtu yeyote atakae mpa baia mtu mwingine bila ya kufanya mashauriano na waislaam hakika watu wawili hao niwenye kujitia madhara wao wenyewe kwa hivyo ni wajibu kuwaua)... hata bani Haashim hawakuweza- na wao wakiwa ndio kizazi cha Mtume…(s.a.w)- hawakuweza kutoa hoja zao na nassi zao.

Na nadharia hii iliendelea kupandikizwa na kutetewa kisiasa katika muda wote huo ili Ali na Aali zake wasiwe na jambo na wasifanye jambo lolote la kuwapinga na kuwatilia vikwazo, hadi ikafika muda ambao Ali alishika uongozi  na hatamu ya utawala baada ya kuuwawa Othumani, hapo ndipo hoja zikaanza kudhihiri kutoka kwake kwa nassi na dalili za wazi.

Na huenda hatua ya kwanza au mara ya kwanza kutoa na kudhihirisha hoja zake na dalili zake za wazi ni pale alipo kusanya watu katika mahala paitwapo (Rahbah) na kusema: (Na muapia  Mwenyezi Mungu kila muislaam alie msikia Mtume wa Mwenyezi Mungu  akisema (s.a.w) siku ya Ghadiir khum yale aliyo yasema asimame na ashuhudie aliyo yasikia, na asisimame isipokuwa yule alie muona kwa macho yake na kumsikia kwa masikio yake mawili)

Masahaba thalathini wakasimama miongoni mwao kukiwa na Masahaba kumi na mbili walio pigana vita vya badri na kushuhudia, ya kuwa aliushika mkono wake na kuwambia watu: Je mwafahamu ya kuwa hakika mimi ni bora kwa waumini kuliko nafsi zao ? wakasema: ndio, Mtume (s.a.w) akasema: Yule ambae nilikuwa mimi ni mtawaliaji wa mambo yake basi huyu Ali ni mtawaliaji wa mambo yake, Ewe Mwenyezi Mungu mpende mwenye kumpenda Ali na mfanyie uadui mwenye kumfanyia uadui Ali).(Angalia: kitabu Al-muraajaati / 194-195)

Na pembezoni mwa tukio hilo Ali (a.s) akaamsha fikra ya kufafanua na kubainisha misingi ambayo ndio inayo paswa kuwa nguzo za Shuraa, na hayo aliyabainisha kwenye barua yake aliyo muandikia Muawiah-kama ifuatavyo- na kwa kufanya hivyo alitaka kumpa hoja na kumlazimisha kutekeleza yale waislaam waliyo jifaradhishia wao wenyewe tangu wakati ule, na hasa ukizingatia kuwa Imamu aliunganisha ndani ya barua yake maneno yale yaliyo pokelewa kwenye hotuba ya Omari (r.a) ya kuwa mwenye kutoka  na kupinga yale yaliyo pelekea kusimama kwa Ukhalifa basi auwawe.

Amesema Imam Ali (a.s): ( Amma baad hakika baia yangu katika mji wa Madinah imekulazimu kuitii nawe ukiwa Sham, kwa sababu wamenipa baia watu wale walio mpa baia Abu bakar na Omar na Othuman juu ya yale waliyo wapea baia, na yule alie shuhudia hakuwa na haki ya kuchagua  na wala yule ambae hakuwepo hakuwa na haki ya kupinga, bali Shuraa ni ya Muhajiriina na Answari  ikiwa wata kusanyika  na kumpa baia mtu Fulani na kumuita imamu hilo litakuwa ni lenye kuridhiwa, na ikiwa mtu yeyote atatoka kwenye jambo lao hilo kwa kupinga au kwa kuto taka na kwa chuki arudishwe kwenye lile alilo jitoa, na ikiwa atakataa basi watampiga vita kwa kufuata kwake njia nyingine tofauti na njioa ya waumini na mwenyezi Mungu kumtawalisha yule alie mtawalisha na kumuingiza katika moto wa Jahannam na makazi yaliyo mabaya sana).

Kisha Imamu anamalizia barua yake hii kwa kauli yake isemayo:  (Na fahamu ya kuwa wewe ni miongoni mwa watu walio achiwa huru ambao si halali na haifao kuwa Makhalifa na wala hawafai kuwa miongoni mwa watu wa Shuraa). (Al-adabu siyaasiy uk\ 75 akinukuu kutoka kwenye kitabu Waaqiatus –swiffiin \29).

Na Imam kwa maneno yake haya kana kwamba ana ashiria na kuelezea sharti la kiongozi wa kisiasa  ambae ameelezwa kwenye kauli yake Mwenyezi Mungu isemayo ((áÇ íäÇá ÚåÏí ÇáÙÇáãíä (Ahadi yangu haiwapati na kuwafikia watu madhalimu).

DALILI ZA MASHIA  JUU YA  UIMAMU WA ALI

Mashia walitoa dalili na uthibitisho juu ya uimamu wa Ali kwa kutumia dalili nyingi za wazi kati ya hizo ni hizi zifuatazo:

1-HADITHI YA GHADIIR:

Hakika hadithi hii imeandikwa kwenye vitabu zaidi ya kimoja kati ya vitabu vyenye kutegemewa, na imepokelewa katika njia zaidi ya njia moja kati ya njia tofauti zilizo sahihi  na hasan na zinginezo.

Na amethibitisha kuwa ni Mutawaatir na kutoa dalili ya wazi zaidi ya mtu mmoja kati ya wanazuoni wakubwa wa hadithi, na kati ya hao mdogo zaidi ni Sayyid Twabatwabaiy amesema: (Ama hadithi ya ghadiir- nina maanisha kauli yake (sa.w): (Yule ambae mimi nilikuwa ni mtawaliaji wa mambo yake basi Ali ni mtawaliaji wa mambo yake)- hadithi hii ni mutawaatir imenukuliwa na kupokelewa kwa njia ya Shia na Ahli sunna  kwa njia zaidi ya Mia moja (100). (Al-miizan juzu 4/ 59 na ili kujiongezea maarifa zaidi katika upande wa sanadi yake  na madhumuni yake rejea kwenye juzuu ya kwanza ya kitabu Al-ghadiir  cha shekh Al-amiiniy).

Na nassi ya hadithi hii kama ilivyo tolewa na Imamu Ahmad bin Hanbal kati ya hadithi za Baraa'a bin Aazib (katika ukurasa 281 wa juzuu ya nne katika Musnadi wake) katika njia mbili: amesema: Tulikuwa pamoja na Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w) mara tukaweka kitua na kupumzika katika Ghadiir khum mara ukapigwa wito wa sala ya Al-jaamiah  kati  yetu, na Mtume (s.a.w) akawekewa matandiko ya wanyama chi ya miti miwili, na akasali sala ya Adhuhuri, na alipomaliza akaushika mkono wa Ali, na kusema: Je hamfahamu ya kuwa mimi ni bora kwa waumini kuliko nafsi zao? 

Wakasema: Ndio.

Akasema: Yule ambae mimi nilikuwa ni mtawaliaji wa mambo yake basi Ali ni mtawaliaji wa mambo yake, Ewe Mwenyezi Mungu mpende mwenye kumpenda Ali, na mfanyie uadui mwenye kumfanyia uadui Ali.

Akasema:  baada ya tukio hilo akakutana na Omar na kumwambia: Hongera ewe mtoto wa Abi Twalib umekuwa ni mtawaliaji wa mambo ya kila muumini wa kiume na kike). (Al-murajaati 190).

Na wameitolea uthibitisho dalili na hadithi hii kama ifuatavyo: 

Shekh Abu Ali At-tabrasiy anasema: (Ama kwa hakika kuna njia mbili za namna ya kuitolea dalili habari na riwaya ya ghadiir:

Njia ya kwanza: Ni pale tukisema: Hakika Mtume aliuthibitishia umma wake mahala pale juu ya faradhi ya kumtii yeye na akasema: (Je mimi si bora kwenu kuliko nafsi zenu) na walipo mjibu  kwa kukubali hilo na kusema: (Ndio), aliuinua mkono wa Amiril-muuminiin Ali (a.s) na kusema akiunganishia kwa yale yaliyo tangulia kuyasema: (ãä ßäÊ ãæáÇå ÝåÐÇ ãæáÇå) (Yule ambae mimi nilikuwa nikitawalia mambo yake basi huyu ni mwenye kutawalia mambo yake) –na katika riwaya zingine imepokewa ((ÝÚáí ãæáÇå (Basi Ali ndie mwenye kutawalia mambo yake)-

((Çááåã æÇá ãä æÇáÇå æÚÇÏö ãä ÚÇÏÇå¡ æÇäÕÑ ãä äÕÑå æÇÎÐá ãä ÎÐáå

 (Ewe Mwenyezi Mungu mpende mwenye kumtawalisha Ali na mfanyie uadui mwenye kumfanyia uadui Ali, na mnusuru na kumsaidia mwenye kumnusuru na kumsaidia Ali  na muachilie mbali mwenye kumtupa mkono na kumuacha Ali), Mtume (a.sw.w) akatamka na kuleta jumla ambayo lafdhi yake ina ihtimali ya maana ya jumla ya kwanza ambayo alitangulia kuisema, nalo ni tamko (ãæáì ) kuna ihtimali likawa na maana ya (alie bora)  japokuwa kuna ihtimali likawa na maana nyingine tofauti na maana ya kwanza, kwa hivyo inakuwa ni wajibu kuwa atakuwa amemaanisha kwa tamko hilo maana iliyo tangulia hapo mwanzo kutokana na hali halisi ya matumizi ya wana lugha.

Na ikiwa tamko hili linatujulisha na kutufahamisha maana ya uimamu kwa dalili ya kuwa wao husema:

( ÇáÓáØÇä Ãæáì ÈÇÞÇãÉ ÇáÍÏæÏ ãä ÇáÑÚíÉ )

(Mtalawa ndie bora zaidi kutekeleza na kusimamisha hududi na sheri kuliko rai wa kawaida) na  ile isemayo (Çáãæáì Ãæáì ÈÚÈÏå) (Bwana ni bora zaidi kuliko mja na mtumwa wake) na ile isemayo:

(æáÏ ÇáãíøÊ Ãæáì ÈãíÑÇËå ãä ÛíÑå )

(Mtoto wa maiti ni mwenye haki zaidi ya kurithi kuliko mwinginewe) na kauli yake Menyezi Mungu alie takasika:

(ÇáäÈí Çæáì ÈÇáãÄãäíä ãä ÇäÝÓåã )

( Mtume ni bora zaidi kwa waumini kuliko nafsi zao) hakuna tofauti kati ya Mufassirina kuwa maana na makusuduio ya Mwenyezi Mungu ni kuwa: Yeye Mtume ndio mwenye haki ya kutawalia mambo ya waumini na kuendasha mambo yao na kuamrisha na kukataza kati yao kuliko mmoja yeyote  miongoni mwao.

Na ikiwa Mtume ni mwenye haki zaidi ya kuendesha mambo ya viumbe kuliko nafsi zao kiasi kwamba ilikuwa imefaradhishwa juu yao kumtii na mwenye haki zaidi ya kuendesha na kupangilia mambo yao na wao wenyewe  na kuwakataza na kuwatumia bila tofauti yeyote,  ni wajibu yawe yale aliyo yawajibisha kwa Amiril-muuminiin (a.s) awe ni bora zaidi katika upangiliaji wa mambo ya waumini na bora zaidi kwa waumini kiasi kwamba kumtii yeye ni faradhi juu yao na amri zake na makatazo yake ni miongoni mwa mambo yanayo takiwa kutekelezwa kati yao, na faradhi ya kumtii inathibitika kwa kushika hatamu ya mambo na kuendesha na kupangilia mambo katika upande huu haiwi twaaa hiyo isipokuwa mwenye kutiiiwa atakapo kuwa Nabii au Imamu, kwa hivyo basi ikiwa (a.s) si Mtume ni wajibu awe Imamu.

Ama njia nyingine ya kuitolea dalili habari hii ni hii ifuatayo: Tusiyajengee maneno kwenye utangulizi, na tunatoa dalili na uthibitisho kwa kauli yake isemayo: (ãä ßäÊ ãæáÇå) (Yule ambae mimi nilikuwa ni mtawaliaji wa mambo yake) bila ya kuyatilia maanani maneno yaliyo itangulia ibara hii, na tunasema:

Inajulikana wazi kuwa Mtume alimuwajibishia Amiiril-muuminiin jambo ambalo lilikuwa limewajibishwa kwake bila shaka yoyote, kwa hivyo basi ni wajibu  kuichukua maana ile inayo takiwa kuchukuliwa kwenye neno (

ãæáì) kati ya maana zingine zidhaniwazo kutafsiriwa neno hilo na maana ambayo inasihi kuhusishwa na Mtume kati ya maana hizo na maana isiyo faa wala kusihi kumuhusisha nayo na inayo juzu kumuwajibishia mtu mwingine katika hali kama ile, na isiyo juzu wala kufaa kumuwajibishia mtu mwingine.

Na maana zote zinazo dhaniwa kutafsiriwa neno (ãæáì zinagawanyika kwenye mafungu yafuatayo:

Kati ya maana hizo ni kuwa kwa nini hakuwa yeye (a.s) wakati ambao yeye ni (mwenye kuachia huru) na (mwenye kufanya makubaliano na kabila Fulani) kwani yeye hakuwa ni mtu alie wekeana nae makubaliano na mtu yeyote, na mwenye kuweka mikataba na makubaliano ni mtu yule ambae: huwekeana mikataba na kabila Fulani na kujinasibisha kwenye kabila lile, ili aweze kupata utukufu na nguvu zaidi kupitia kabila lile…

Na kati ya maana hizo ni vile alivyo kuwa (a.s)- na inajulikana kwa kila mtu kuwa-yeye hakuikusudia maana hiyo, kwani yeye ni: (Jirani) na (Mkwewe) na (mtoto wa ami yake).

Na kati ya maana hizo ni yale yaliyo kuwa , na ikijulikana kwa dalili ya kuwa hakukusudia, wakati yeye ni (utawala wa dini) na usaidizi wake kwenye dini na kuwa kumpenda.

Na jambo litujulishalo kuwa yeye hakukusudia na kutaka maana hiyo ya kuwa kila mwenye akili anafahamu kutoka kwenye dini yake kuwa ni wajibu kwa waumini kupendana wao kwa wao, na hivyo ndivyo Qur'ani ilivyosema, sasa vipi yawezekana kuwakusanya watu wote wale  na mkusanyiko ule mkubwa  katika hali kama ile na kusimama juu ya mimbari na kuhutubia juu ya mimbari iliyo tengenezwa kutokana na vitu vya msafara ili watu wafahamu katika dini yao jambo ambalo tangu hapo kabla wakijua ulazima wa jambo hilo.

Na kati ya maana hizo ni maana ile iliyo mfanya kufanya vile, na ni wajibu awe amekusudia maana hiyo nayo ni kuwa (Mwenye haki zaidi ya kuendesha na kupangilia mambo ya umma na kuwaamrisha na kuwakataza), kwani sisi tukibatilisha makundi yote ya maana zilizo tajwa, na tukafahamu ya kuwa ni muhali maana yake yakabakia hivi hivi bila ya maana yoyote au faida yoyote, na hakuna maana iliyo bakia isipokuwa hii basi hapo tunasema kuwa ni wajibu ikusudunie maana hii.

Na kwa hakika tumefafanua na kubainisha kuwa kila alie kuwa na sifa hizi basi huyo ndie imam alie faradhishwa kutiiwa, ama ufafanuzi zaidi katika maadhui haya umeelezwa katika vitabu vikubwa). ( Aalaamul-waraa 169-170)

Kwa hakika Ali (a.s) kupewa wilaya (utawaliaji wa mambo) wa ujumla ambao unamaana ya Uimam  na Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w) ilikuwa ni kutekeleza amri ya wahyi ulio telemshwa kwake katika siku ya (Ghadiir khum)  nayo ni kauli yake Mwenyezi Mungu alie takasika:

 (íÇ ÇíåÇ ÇáÑÓæá ÈáÛ ãÇ ÃäÒá Çáíß ãä ÑÈß æÇä áã ÊÝÚá ÝãÇ ÈáÛÊ ÑÓÇáÊå æÇááøå íÚÕãß ãä ÇáäÇÓ Çä Çááøå áÇ íåÏí ÇáÞæã ÇáßÇÝÑíä) - ÇáãÇÆÏÉ 67 - )

(Ewe Mtume fikisha yale yaliyo telemshwa kwako kutoka kwa mola wako na ikiwa hukufanya basi hukufikisha ujumbe wake na Mwenyezi Mungu atakulinda na watu hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu makafiri) (suraatul-maaidah 67).

Abul-hasan amepokea  katika kitabu (Asbaabun-nuzuul) kwa sanadi yake kutoka kwa Abi Saaid Al-khudriy: (amesema: Aya hii imetelemka                                     (íÇ ÇíåÇ ÇáÑÓæá ÈáÛ ãÇ ÃäÒá Çáíß ãä ÑÈß  

 siku ya Ghadiir khum kuhusiana na Ali bin Abi Twalib Radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake). (Aalamul-waraa 150).

Na aya hiyo iko wazi na inaeleza wazi namna Mwenyezi Mungu alivyo muamuru Mtume wake mtukufu kufikisha ufunuo na wahyi ulio telemshwa kwake kutoka kwa mola wake.

Kama ambavyo aya hiyo dhahiri yake inaeleza wazi kuwa amri hiyo ilikuwa ni baada ya kukamilika ufikishaji wa ujumbe wa mwenyezi Mungu ambao alitangaza kukamilisha kwake ufikishaji wa ujumbe huo na kukamilika kwake siku ya Arafah kabla ya kufika kwake (s.a.w.w) katika Ghadiir khum kwa  kauli yake Mwenyezi Mungu mtukufu: (Çáíæã ÇßãáÊ áßã Ïíäßã æÇÊããÊ Úáíßã äÚãÊí æÑÖíÊ áßã ÇáÇÓáÇã ÏíäÇð) ) Hivi leo nimekukamilishieni dini yenu na nimezitimiza kwenu neema zangu  na nimeridhia kwenu uislaamu uwe ndio dini ya kweli) (suuratul-maaidah aya 3).

Na aya hii pia iko dhahiri juu ya ukweli kuwa jambo lile lilikuwa ni hukumu ndogo, na hiyo ni kutokana na ukweli kuwa kufikisha risala ni ufikishaji wa ujumbe kwa watu wote hadi kusimama kwa kiama na ni ujumbe ulio kuwa umebeba hukumu za ujumla za Uislaam, na kati ya hukumu hizo za ujumla ni hukumu ya Uimamu ambayo tumefaidika nayo kutoka kwenye aya isemayo (Çäí ÌÇÚáß ááäÇÓ ÅãÇãÇð  (Nimekujaali na kukufanya uwe Imam kwa watu), na hiyo inakuwa ni amri ya kutekeleza kielelezo (Amri juz'i) na hapa ni kutekeleza hukumu ya Uimamu juu ya mtu mwenye kustahili Uiumamu huo.

Na haya yana ungwa mkono na kusisitiziwa na kauli yake Mwenyezi Mungu mtukufu isemayo: (æÇááøå íÚÕãß ãä ÇáäÇÓ) (Na Mwenyezi Mungu atakulinda na watu), kwani watu–na hapa ni watu wote- huenda wasione aibu na kuchelewa kutoa tuhuma kwa Mtume au kumtuhumu Mtume (s.a.w.w) kwa kumpendelea mtoto wa ami yake, na huenda watu wenye tamaa ya ukhalifa wakajaribu kuharibu jambo hilo na kumzulia Mtume (s.a.w.w) mambo kadhaa wakadhaa, kwa hivyo Mwenyezi Mungu akampatia dhamana hii ya kumhifadhi na kumhami kutokana na mambo awezayo kupambana nayo kutoka kwa watu wakati akitekeleza jukumu la kumpatia na kumkabidhi  Ali Wilaya na kumuweka kama Imamu wa Waislaam.

(Katika Tafsiri ya Ayy ashiy imepokelewa kutoka kwa Abi Swaalih kutoka kwa Ibnu Abbas na Jaabir bin Abdillah: wamesema: Mwenyezi Mungu alimuamuru Mtume wake Muhammad amuweke Ali kuwa ndie bendera ya watu (kiongozi) ili awafahamishe wilaya (utawala) wake, Mtume (a.s.w)  akawa na  khofu (woga)  wasije wakasema kuwa amemuweka mtoto wa ami yake na akiogopa wasije kumtuhumu kwa hilo, wakasema: Mwenyezi Mungu akamteremshia aya hii isemayo:

(íÇ ÇíåÇ ÇáÑÓæá ÈáÛ ãÇ ÇäÒá Çáíß ãä ÑÈß æÇä áã ÊÝÚá ÝãÇ ÈáÛÊ ÑÓÇáÊå æÇááøå íÚÕãß ãä ÇáäÇÓ)

Na hapo Mtume (a.s.w) akasimama na kutangaza wilaya na utawala wake siku ya Ghadiir khum.(Al-miizan juzu ya 4\ 53).

Na Doctor Nashaar anasema baada ya mazungumzo yake kuhusu hadithi ya Nyumba (Ad-dar): Kisha kuna hadithi nyingine muhimu nayo ni hadithi ya Ghadiir na ambayo Mashia wameifanya kuwa ndio tegemeo lao juu ya haki kamili ya Ali katika ukhalifa wa waislaam baada ya Mtume wa Mwenyezi Mungu.

Kwa hakika Mtume (s.a.w) alitoka Makka baada ya hija ya kuaga, na alipokuwa njiani alitelemkiwa na wahyi kwa kusomewa aya hii

(íÇ ÇíåÇ ÇáÑÓæá ÈáÛ ãÇ ÇäÒá Çáíß ãä ÑÈß æÇä áã ÊÝÚá ÝãÇ ÈáÛÊ ÑÓÇáÊå æÇááøå íÚÕãß ãä ÇáäÇÓ)

Aya ya 67 sura ya 5 , na Mtume alikuwa amefika sehemu ya ghadiir khum, na hapo akaamuru kukusanywa kwa vipando …………na vikakusanywa katika siku yenye jua kali na akamuita Ali na kumkalisha upande wake wa kulia, na akatoa hotuba na kusema:Kwa hakika nimeitwa kwa mola wangu na kwa hakika mimi nitakuacheni na kukuhameni kwenye dunia hii  na kwa hakika mimi nimeacha kwenu vizito viwili: Kitabu cha Allah na kizazi changu watu wa nyumbani kwangu),  kisha akachukua na kuushika mkono wa Ali na kuuinua juu na kusema (Enyi watu je mimi si bora kuliko nafsi zenu)? Wakasema: ndio, akasema: Yule ambae mimi nilikuwa ni mtawaliaji wa mambo yake basi Ali ni mtawaliaji wa mambo yake, ewe Mwenyezi Mungu mpende mwenye kumtawalisha Ali na mfanyie uadui mwenye kumfanyia uadui Ali  na mnusuru mwenye kumnusuru Ali na muache mwenye kumuacha Ali na haki iweke pamoja nae popote atakapo kuwa), Omar akasema: (Hongera hongera, umekuwa mtawala wangu na mtawala wa kila muumini wa kike na kiume), kisha Mtume akarejea kwenye Hema lake na kuweka Hema lingine pembezoni mwa Hema lake kwa ajili ya Ali, na akawaamuru waislaam wampe baia (kiapo cha utii) kwa ajili ya uimamu, na kumkabidhi uongoizi wa waumini wote wake kwa waume. (Nash-atulfikril-falsafiy fili-islaam 2\ 27-28 akinukuu kutoka kwenye Minhaajus-sunna cha Ibnu Taimiyah 4\ 81 na Hayaatul-quluub cha Majlisiy ukurasa wa 339   

Hii ndio hadithi ya Ghadiir khum ambayo Mashia waliitakidi kuwa ndio tegemeo na sanadi ya wazi kabisa waliyo nayo katika kuitakidi Uimamu wa Ali, na Ahli sunna walikiri kwa upande Fulani kusihi kwa hadithi hii na wakaitolea tafsiri kuwa makusudio ya (wilaya) hapa ni wilaya (utawala wa kiroho), bali hakika sisi tunamuona Hasan Baswariy- Imamu wa Taabiina- anatangaza kuwa Ali Ni mlezi wa kiroho wa Umma huu. Ama Masalafia kati ya wafuasi wa Madhehbu ya Hanbali walio tangulia kwa hakika wao walifanya taawili na tafsiri wila ya Wilaya kwa maana ya kuto kuwa na chuki, na Masalafia walio kuja baadae wakapinga hadithi hiyo moja kwa moja.

Na la kushangaza ni kuwa Masalafia ambao wanachukia kufanya Taawili na kuipinga, hapa huikubali na kufanya taawili).( Nash-atulfikril-falsafiy fili-islaam 2\ 27-28 akinukuu kutoka kwenye Minhaajus-sunna cha Ibnu Taimiyah 4\ 81 na Hayaatul-quluub cha Majlisiy ukurasa wa 339) 

Na ni jambo lililowazi kuwa Taawili iliyo fanyika hapa ilikuwa ni kutokana na kuathiri  kwa sababu za kisiasa, kwani kukiri kuwa dhahiri ya hadihi inajulisha juu ya uimamu utokao kwa Mungu matokeo yake ni kumlazisha asie kubali kuitakidi makusudio ya riwaya hiyo  kuwa ni mwenye kukhalifu na kupingana na syheri.

Abulqaasim Al-jabaliy Al-muutaziliy anasema:(Lau kama Ali baada tu ya kufariki Mtume (s.a.w.w) ange gombea uimamu na kuchomoa upanga na silaha yake tunge hukumu kuwa kila mwenye kumpinga  na mwenye kumtangulia basi ameangamia, kama tulivyo hukumu kuwa ameangamia yule alie pingana nae pindi alipo jidhihirisha na kujitokeza, lakini yeye ndie mwenye kulimiliki jambo hilo na mwenye ukhalifa au anaestahili ukhalifa, ikiwa atautaka basi itakuwa ni wajibu kusema kuwa mwenye kumpinga na kuzozana nae kuhusu ukhalifa huo basi ni fasiki, na ikiwa atajizuia na kuto utafuta au kutotaka kuuchukua  basi ni wajibu juu yetu kusema kuwa mtu alie ufumbia macho na kujiepusha nao na kutoaujali kuwa ni muadilifu, na hukumu yake katika hilo ni sawa na hukumu ya Mtume (s.a.w), kwani imethibiti kutoka kwake (s.a.w) katika habari sahihi ya kuwa amesema:

(Úáí ãÚ ÇáÍÞ¡ æÇáÍÞ ãÚ Úáí¡ í쾄 ãÚå ÍíËãÇ ÏÇÑ

(Ali yuko pamoja na haki, na haki iko pamoja na Ali, inaduru na kwenda nae popote aendako), na alimwambia zaidi ya mara moja: (

ÍÑÈß ÍÑÈí¡ æÓáãß Óáãí) (Kukupiga wewe vita ni sawa na kunipiga vita mimi) (1)(Al-usuulul-ammah lilfiqhil-muqaarin 177 akinukuu kutoka kwenye sharhu ya Nahjul-balagha ya Ibnu Abil-hadiid juzu1 / 212) Pamoja na ukweli kuwa kuambatana kwa wilaya na utawala wa Ali na wilaya au utawala wa Mtume  katika hadithi iliyo tajwa ni dalili juu ya ukweli kwamba wilaya hiyo ni pana zaidi kuliko wilaya ya kiroho, kwa sababu wilaya ya Mtume juu ya nafsi  inamaana ya utawala wa kutekeleza mambo kwani hakutakuwa na maana yoyote Mtume awe walii juu ya nafsi (kiroho).

2-HADITHI YA  BARUA (UANDISHI WA USIA)

Na nassi yake ni kama ifuatavyo: (Pindi Mtume alipofikiwa na kipindi cha kutaka kukata roho (Ihtidhaar) na nyumbani kwake kukiwa na watu kadhaa miongoni mwao akiwa Omar binil- Khattab, Mtume (s.a.w.w) alisema: Nileteeni kalamu na karatasi nikuandikieni mambo ambayo hamtopotea kamwe baada yangu, Omar akasema: Hakika Mtume amezidiwa na maumivu (anaweweseka), nanyi mnayo Qur'an, kinatutosha kitabu cha Mwenyezi Mungu, watu waliokuwa nyumbani kwa Mtume wakahitilafiana na kugombana pia kupigizana kelele, kati yao kukiwa na wale wasemao: Mpeni kalamu na karatasi ili Mtume akuandikieni mambo ambayo hamto potea kamwe baada yake, na kati yao wamo waliokuwa wakisema kama yale aliyo yasema Omar, na pindi walipo zidisha kelele natofauti mbele ya Mtume (s.a.w.w) Mtume  wa Mwenyezi Mungu akawambia: Tokeni nje.

Na Ibnu Abbas alikuwa akisema baada ya tukio hilo:(Hakika huzuni iliyokuwa kubwa zaidi ni kule kumzuilia Mtume wa Mwenyezi Mugu kupewa karatasi ili awaandikie usia ule kutokana na tofauti yao au kutofautiana kwao na kugombana kwao) (Al-muraajaati 272).

Sayyid Sharafud-din amesema akielezea juu ya tukio hilo: (Na hadithi hii ni hadithi ambayo hakuna tofauti juu ya usahihi wake wala juu ya kutoka kwake kwa Mtume, na kwa hakika bwana Bukhari ameipokea hadithi hiyo katika sehemu nyingi katika sahihi yake, na imetolewa na Muslim mwishoni mwa usia katika sahihi yake pia, na imepokelwa na Ahmad  kati ya hadithi za Ibnu Abbas katika Musnadi wake, na waandishi wengine wa vitabu vya Sunan na vitabu vya hadithi).( Al-muraajaati 272).

( Na wewe ukifanya mazingatio katika kauli yake Mtume (s.a.w.w) isemayo:

(åáã ÇßÊÈ áßã ßÊÇÈÇð áä ÊÖáæÇ ÈÚÏå) (Leteni kalamu na karatasi nikuandikieni mambo ambayo hamtopotea baada yake) na kauli yake iliyoko kwenye hadithi ya vizito viwili (Thaqalain) isemayo:

Ãåá ÈíÊí)  Çäí ÊÇÑß Ýíßã ãÇ Åä ÊãÓßÊã Èå áä ÊÖáæÇ : ßÊÇÈ Çááøå æÚÊÑÊí

Utafahamu ya kuwa makusudio ya hadithi hizo mbili ni moja, na kwamba Mtume (s.a.w.w) katika maradhi yake alitaka kuwaandikia ufafanuzi na uchambuzi wa yale mambo aliyo yawajibisha juu yao katika hadithi ya Thaqalaini.

Na si vinginevyo aliacha kufanya hivyo kwa sababu yale maneno yao waliyo mshutukiza nayo yalimlazimisha kuacha kuandika, kwani hakukuwa kumebakia nafasi ya kuathiri maneno yake hata kama ange andika usia ule au mambo yale isipokuwa fitina na tofauti baada yake tofauti ya kuwa je alikuwa akiweweseka katika yale aliyo yaandika–Twajilinda na Mwenyezi Mungu kutokana na hayo-au hakuweweseka, kama walivyo tofautiana katika hilo na kutoa maneno na kufanya zogo mbele yake, na siku hiyo hakuweza kusema lolote tofauti na kauli yake aliyo isema kuwambia: (tokeni) –kama ulivyokwisha sikia-, na lau kama ange ng'ang'ania kuandika usia na mambo yale bila shaka wange sisitizia juu ya kauli yao ya kuwa anaweweseka na wangeendeleza kelele zao ili kuthibitisha kuwa anaweweseka- Twajilinda na Mwenyezi Mungu kutokana na hayo-na kuandika ngano na uzushi wao, na kuyaandika pia kuyajaza mabuku yao kwa jibu la usia ule na mambo yale aliyo yaandika na kwa yule ayatoleaye hoja.

Kutokana na hayo na kutokana na hekima yake ya hali ya juu ilimlazimu Mtume (s.a.w.w) kuacha kuandika usia ule na mambo yale aliyo taka kuyaandika na kuachana nayo ili watu hao wapingao pamoja na wafuasi wao wasije wakafungua mlango wa kuanza kutia shaka na kuutuhumu utume- Twajilinda na Mwenyezi Mungu na twajikinga nae- na kwa hakika Mtume (s.a.w.w) aliona kuwa Ali na wafuasi wake ni wenye kutii madhumuni ya usia na mambo yale aliyo taka kuyaandika, kwao ni sawa aadike au asiendike, na wengine si wenye kuyatekeleza na hawatayapa umuhimu hata kama ataandika, kwa hivyo basi hekima-na kutokana na hali ilivyo kuwa ilikuwa ikimwajibisha kuacha kuandika usia huo kwani hakuna athari yoyote itakayo toa baada ya upinzani ule na upingaji ule ulio jitokeza  isipokuwa fitina  kama ionekanavyo) (1) (Al-muraaja'aati 275-276)

MAIMAMU WA MADHEHEBU YA IMAMIYYAH

Na katika madhehbu ya Shia  Imamiyyah uimamu unafuatana katika maimamu kumi na mbili, kama wafuatao:

1-Ali bin Abi twalib alie fariki mwaka 40 hijiria.

2-hasana bin Ali Alie fariki mwaka 50 hijiria.

3-Husein bin Ali alie fariki mwaka 61 hijiria.

4-Ali bin Husein Zainul-aabidiin alie fariki mwaka 94 hijiria.

5-Muhammad bin Ali Al-baqir alie fariki mwaka 114 hijiria.

6-Jaafar bin Muhammad As-swaadiq alie fariki mwaka 148 hijiria.

7-Musa bin Jaafar Al-kadhim alie fariki mwaka 183 hijiria.

8-Ali bin Musa Ar-ridhaa alie fariki mwka 203 hijiria.

9-Muhammad bin Ali Al-jawaad alie fariki mwaka 220 hijiria.

10-Ali bin Muhammad Al-haadiy alie fariki mwaka 254 hijiria.

11-Hasan bin Ali Al-askariy alie fariki mwaka 260 hijiria.

12-Muhammad bin hasan Al-mahdiy alie zaliwa mwaka 255 hijiria

Na walitoa dalili za kuthibitisha uimamu wao kwa Nassi na dalili zilizo tajwa kwenye vitabu vya hadithi na vitabu vielezavyo suala la uimamu, na baadhi ya hadithi hizo ni zenye dalili ya wazi juu ya maimamu kumi na mbili, na zingine zikiwa ni nassi juu ya kila mtu mmoja mmoja kidhati yake.

Na kati ya Nasi hizo ni zile ambazo ni mutawaatir kilafudhi, na zingine zikiwa ni mutawaatir kimaana.

Na jambo lamsingi tulipatalo katika hadithi hizo ni kuwa: Kumfahamu Imamu kunatimia kwa kuthibitishwa kwa dalili ya wazi ya alie tangulia kumtambulisha ajae. Pamoja na nassi zile  walizo zitaja kutoka kwa Mtume (s.a.w.w) ziwaelezeazo wote pamoja na majina yao, na hadithi au Nassi tulizo zitaja hapo mwanzo  kutoka kwa Mtume (s.a.w.w) zihusianazo na  mtoto wa ami yake Ali bin Abi Twalib (a.s) pekee na walizitolea ushahidi hadithi zilizo pokelewa na Ahli sunna katika vitabu vyao sahihi na Musnadi zao kutoka kwa Mtume (s.a.w.w) ya kuwa Mtume (s.a.w.w) alitoa dalili za wazi ya kuwa maima ni kumi na mbili na wote wanatoka katika kabi la kikuraishi.

Na katika upokezi wa Bukhari kuna riwaya isemayo:

(ÇËäÇ ÚÔÑ ÃãíÑÇð ßáåã ãä ÞÑíÔ )

(Maamiri ni kumi na wawili na wote wanatoka katika kabila la kikuraishi).

Na katika upokezi au riwaya ya Muslimu imepokelewa kuwa:

 (ÇËäÇ ÚÔÑ ÎáíÝÉ ßáåã ãä ÞÑíÔ )

(Makhalifa ni kumi na mbili na wote wanatoka katika kabila la kikuraishi).

Na mfano wa hizo ni riwaya za Tirmidhiy na Ibnu Hajar na Bwana Haakim. (Siiratul-aimmatil-ithnaashara juzuu 1/ 36-37.

Na katika riwaya ya Ahmad bin Hanbali kutoka kwa Masrouq, amesema: Tulikuwa tumekaa kwa Abdallah bin Masoud, huku akitusomea Qur'an, mtu mmoja akamwambia: Ewe baba wa Abdur-rahman je mlimuuliza Mtume wa (Mwenyezi Mugnu (s.a.w.w): Ni Makhalifa wangapi watakao miliki na kuutawala umma huu?

Abdalah akasema: Hakuna yeyote alie wahi kuniuliza kuhusu suala hilo tangu nilipo kuja Iraq kabla yako wewe.

Kisha akasema: Ndio, kwa hakika tulimuuliza Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w), (Nae akasema) Ni kumi na mbili kama idadi ya wateule wa bani Israili). (Usulul-aamah 178).

Ustadhi Sayid Muhammad Taqiy Al-hakiim:(Tunacho faidika nacho kutoka kwenye riwaya hizi ni kuwa: 1-Idadi ya watawala na Makhalifa haivuki watu kumi na mbili, na wote wanatokana na kabila la kikuraishi.

2-Hakika watawala hao wameteuliwa kwa nassi na dalili za wazi, kama inavyo lazimu hali ya kufananishwa kwao na wateule wa Bani Israili kutokana na kauli yake Mwenyezi  Mungu isemayo:

 (æáÞÏ ÃÎÐäÇ ãíËÇÞ Èäí ÇÓÑÇÆíá æÈÚËäÇ ãäåã ÇËäí ÚÔÑ äÞíÈÇð).

 (kwa hakika tulichukua ahadi kwa bani Israili na tukawatuma miongoni mwao wateule kumi na mbili).

3-hakika riwaya hizi zimefaradhisha kubakia kwa watawala hawa maadamu uislamu ungali upo, au hadi kitakapo simama kiama, kama riwaya ya Muslimu iliyo tangulia ilivyo elezea,  kisha riwaya yake nyingine ikasema wazi katika mlango huo huo kama ifuatavyo:

áÇ íÒÇá åÐÇ ÇáÇãÑ Ýí ÞÑíÔ ãÇ ÈÞí ãä ÇáäÇÓ ÇËäÇä). )

(Jambo hili litabakia kuwapo katika kabila la kikuraishi hata kama watabakia watu wawili tu).

Ikiwa faida hii tuliyo faidika nayo itakuwa ni sahihi basi haiwiani isipokuwa na itikadi ya Imamiyyah katika idadi ya maimamu na kubakia kwao na kuwa wao wameelezwa na kuteuliwa kwa dalili na nassi za wazi kutoka kwa Mtume (s.a.w.w), na natija hiyo itakuwa iko sambamba sana na hadithi ya Thaqalaini (vizito viwili) na kubakia kwao vikiwa pamoja hadi kuingia au kurejea kwake kwenye Hodhi.

Na usahihi wa faida hii tuipatayo unategemea juu ya msingi kuwa maana ya kubakia kwa jambo lao kwao ni kubakia kwa uimamu na ukhalifa-kwa kuwa wao ndio wanaostahiki-na sio utawala wa dhahiri. Kwa sababu khalifa wa kisheria huuchukua utawala wake kutoka kwa Mwenyezi Mungu, na utawala wake unakuwa katika missingi na mipaka ya utawala wa kisheria si wa kimaumbile, kwa sababu aina hii ya utawala ndiyo ambayo inamlazimu kutekeleza wadhifa wake na kufanya kazi kwa mujibu wa matakwa ya  muweka na mtunga sheria, na hilo halipingani na kutoweka utawala wa kidhahiri kwao na kutokuwa nao na kuonekana kidhahiri kwa watu wengine wajitokezao na kuwatawala na kuwakalia kwa mabavu.

Na ukweli ni kuwa riwaya zitabakia bila kuwa na tafsiri lau kama hatutazifasiri na kuiacha maana tuliyo ibainisha hapo juu, kutokana na kuwa wazi kuwa utawala wa dhahiri ulichukuliwa na kuendeshwa na watu wa kikuraishi wanao zidi idadi hiyo kwa mara kadhaa, ukiachilia mbali kuanguka na kutoweka utawala na dola lao na yeyote kati yao kuto kuwa na nassi na dalili ya wazi ya kuthibitisha utawala wake-kama vile bani umayyah na bani Abbas- kwa makubaliano ya waislaam wote.

Na ni vema kusema ya kuwa riwaya hizi zilikuwa zikipatikana katika vitabu sahihi na masaanidi zao kabla ya idadi ya maimamu kukamilika, kwa hivyo basi hakuna ihtimali ya kuwa huenda zikawa ni riwaya zilizo pandikizwa baada ya kukamilika kwa idadi  iliyo tajwa, kwa kujua kuwa wapokezi wake wote ni katika wapokezi wa Ahli sunna na watu wenye kuaminika kwa masunni.,

Na huenda kutatizwa kwa maulamaa wengi kuzitolea tafsiri na kutoa muelekeo wa hadithi hizi kuwa sambamba kwake na uhakika wa historia ulivyo na ilivyo tokea, chanzo chake kilikuwa ni kutoweza kwao kuzikanusha hadithi hizo, kutokana na hali hiyo ndio maana tunakuta rai zao ni zenye kupinganan na kupishana katika kutoa muelekeo na tafsiri ya hadithi hizo na kubainisha maana na makusudio ya hadithi hizo.

Na bwana Suyuutwiy (baada ya kutoa maneno yaliyo semwa na maulamaa kuhusiana na hadithi hizi zilizo kuwa ngumu katika kuzifasiri  alitoka na rai ya ajabu na tutainukuu hapa ili wasomaji waweze kujishuhudia wenyewe, nayo ni kama ifuatayo: (Na juu ya msingi huu walipatikana kati ya Makhalifa kumi na mbili: Makhalifa wane na Hasan na Muawiah na ibnu Zubairi na Omar bin Abdul-azizi  na hawa ni wanane na kuna ihtimali kujumuishwa na watu hao Mahdiy mmoja kati ya watawala wa Bani Abbasi, kwani yeye kati ya bani Abbas ni kama vile Omar bin Abdul-azizi kati ya bani Umayyah, vile vile kidhahiri kutokana na kusifika kwake na uadifu, na wanabakia wawili wenye kusubiriwa  mmoja wapo ni: Mahdiy kwa sababu yeye ni katika Aali na jamaa wa Muhammad) na hakubainisha wa pili anae ngojewa na kusubiriwa, na Mwenyezi Mungu amrehemu yule alie sema maneno yake kuhusiana na bwana Suyuutwiy: Hakika yeye alichanganyikiwa na kutoa fahamu ukweli).(Al-usuulul-aama  ukurasa 180 akinukuu kutoka kwenye kitabu Al-adhwaaa alaa sunnati muhammadiyyah ukurasa 212).

Na yasemwayo kutoka kwa Suyuutwiy, husemwa pia kutoka kwa Ruuzbahan katika kumjibu kwake Allama Al-hilliy, nae akijaribu kuzielekeza na kuzitolea tafsiri hadithi hizo. (m.n kutoka kwenye kitabu Dalaailus-swidqi juzu 2/ 315.

Na ukweli ni kuwa hadithi hizi hazikubali tafsiri yoyote itolewayo isipokuwa muelekeona tafsiri ya madhehbu ya Imamiyyah kuhusiana na maimamu wao.

Na kuzizingatia kuwa ni katika dalili za utume katika ukweli wake katika kueleza habari za ghaibu, ni bora zaidi kuliko majaribio ya kuamsha shaka kuhusiana na hadithi hizo kama walivyo fanya baadhi ya watafiti na wasimuliaji wa hadithi wakizivuka kwa kufanya kwao hivyo kanuni zote za kielimu, na hasa baada ya kuthibiti ukweli wake kwa kuwa kwake sambamba na zikiwiana kwke na maimamu kumi na wawili (a.s) (3) (m.n.)

MAIMAU WA AHLI SUNNA:

 Ama Ahli sunna uimamu kwao hufuatana na kuendelea kuanzia kwa Khulafaur-raashidiina na watawala wa bani umayyah pia watawala wa bani Abbas na walio kubali na kufuata utawala wao chini ya anwani ya Khilafah na Mtawala wa waumini.

MAIMAMU  WA  ZAIDIYYA

Na zaidiyya wanaitakidi kuwa uimamu ulikuwa kwa Ali kisha Hasan na Huseini baada yake, kisha wengineo kutoka katika Ahli baiti baada ya Hasan na Husein kutokna na kauli yake (s.a.w.w):

ÇáÃÆãÉ Ýí ÞÑíÔ Ýí åÐÇ ÇáÈØä ãä åÇÔã) )

(Maimamu wanatoka katika kabila la kikuraishi katika tumbo hili kutoka kwa Haashim),   Na kutokana na Ijmai ya Ahlil-baiti juu ya hilo.

Na orodha ya maimamu kwao ni kama ifuatayo:

1-Ali bin Abi Twalib alie fariki mwaka 40 hijiria.

2-Hasan bin Ali alie fariki mwaka 50 hijiria.

3-Huseini bin Ali alie fariki mwaka 61 hijiria.

4-hasan bin hasan alie fariki mwaka 80 hijiria.

5- Zaidi  bin Ali aliefariki mwaka 122 hijiria.

6-Yahya bin Zaidi alie fariki mwaka 126 hijiria.

7-Muhammad An-nafsiz zakiyyah alie fariki mwaka 145 hijiria.

8- Ibraahim bin Abdallah alie fariki mwaka 145 hijiria.

9-Ibraahim bin Hasan Al-muthannah alie fariki mwaka 145 hijiria.

10-Yahya bin Abdallah bin Hasan al-muthannah alie fariki mwaka 175 hijiria.

11-Idrisa bin Abdallah bin Hasan Al-muthannah alie fariki mwaka 175 hijiria.

12-Muhammad bin Twabatwabai alie fariki mwaka 199 hijiria.

13-Muhammad bin Sulaeiman bin Daud bin Hasan Al-muthanna alie fariki mwaka 200 hijiria.

14-idrisa bin Idrisa alie fariki mwaka 214 hijiria.

Na baada ya hawa uimamu uliendelea–na bado unaendelea-kulingana na masharti yafuatayo:

1-Awe na nasabu ya hasaniy au Huseiniy.

2-Awe ni mwenye Daawah.

3-Awe mwana mapinduzi. Mwana thaura.

Ili kuwafahamu maimamu wao wengine  hadi kufikia kuanguka na kuporomoka dola na utawala wa Aalu Hamiidud-dini huko Yemen mwaka 1962 h.d rejea kwenye kitabu (Az-zaidiyyah) cha Doctor Ahmad mahmoud Subhiy ukurasa 587 chini ya anwani (Sil-silatu aimmatuz-zaidiyyah) (mlolongo wa maimamu wa Zaidiyyah).

Na Sayyid Ahmad Husein Sharafud-dini Az-zaidiy aishie katika zama hizi amesema: (Na Zaidiyyah wamekubaliana wote ya kuwa kumfahamu Imamu Ali ni wajibu  juu ya kila mukallaf.

Ama kuhusu hukumu ya Makhalifa watatu walio mtangulia Mazaidiyyah wa Yemen hawapingi chochote kwa kufanya kwao hivyo kutokana na kujuzu kusimama asie kuwa bora pindi alie bora  akiwepo kwa ajili ya maslahi  na kutokana na Ali kuwapa baiah.

Na miongoni mwao kuna wanao simamisha hali ya kuwatia makosa juu ya elimu yao, yaani hakika wao ikiwa sio wenye elimu na ujuzi wa kuwa yeye ndie anae stahiki tofauti na wao baada ya

(Ïæäåã ÈÚÏ ÇáÊÍÑí ÝáÇ)

 Hakutakuwa na thambi juu yao hata kama watakosema, kwa sababu kila mwenye kujitahidi au mwenye kufanya juhudi ni mwenye kupatia, laasivyo makosa yao ni makubwa sana, na hii ndio kauli ya imamu Qaasim bin Muhammad katika kitabu chake (Al-aasaasi).

Ama Jaarudiyyah na Swaalihiyyah- na haya ni kati ya madhehbu au vikundi vya zaidiyyah, na yalidhihiri na kuchomoza katika nchi ya Iraq- madhehebu mbili hizo zinasema na kuitakidi kuwa umma ulipotoka na kukufuru kwa kuacha kumpa baiah, na hawakumtia makosani Abubakar na Omar kutokana na imamu Ali kunyamaza:( 1)  taarikh fikril-islaamiy fil-yaman 162.

MAIMAMU WA ISMAILIYYAH:

Ama maimamu wa kiismailiyyah silsila yao ni kama ifuatayo:

1-Ali bin Abi Twalib..

2-Hasan bin Ali.

3-Husein bin Ali.

4-Ali bin Husein Zainul-aabidiin.

5- Muhamad bin Ali Al-baaqir.

6- Jaafar bin Muhammad As-swaadiq.

7- Ismaili bin Jaafar As-swaadiq alie fariki mwaka 145 hijiria..

B- Maimamu walio ghibu na wasio onekana:

1-Muhammad Ismaili alie fariki mwaka 183 hijiria.

2-Abdallah Ridhaa bin Muhammad bin Ismaili.

3-Ahmad bin Abdallah bin Muhammad bin Ismaili.

4-Husein bin Ahmad bin Abdallah bin Muhammad bin Ismaili.

5-Ali bin Husein bin Ahmad bin abdallah bin Muhammad bin Ismaili.

6-ubaidullahi Al-mahdiy Al-faatimiy alie fariki mwaka 322 hijiria.

MAIMAU WA IBADHI

Na maibadhi wakaitakidi kuwa ni wajibu katika jamii ya kiislaam kuwa na maimamu-kama ilivyo elezwa na kuashiriwa, na kuyatolea hayo dalili kama ifuatavyo:

Kwa hakika kusimamisha hududi na hukumu za kisheria ni wajibu katika sheria za kiislaam, na  hududi hizo haziwezi kusimamishwa isipokuwa na maimamu na watawala wao.

Na wakaitakidi kuwa uimamu haufungamani tu na makuraish, kwa sababu watu wote ni sawa mbele ya Mwenyezi Mungu, na kwa hakika aliwaumba kutokana na nafsi moja, kwa hivyo basi hakuna kubaguana kati ya waislaam kuhusiana na cheo hiki, na hayo ni kutokana na kauli yake (s.aw.w.) (Ikiwa mtatawaliwa na mja wa kihabeshi mwenye kukatika pua basi msikilizeni na mumtii maadamu anakuhukumuni kwa kitabu cha Mwenyezi Mungu).

Na njia ya kumuweka imamu kwao ni kwa njiaa ya uchaguzi na baiah.

Na  Uimamu kwao baada ya Mtume unaanzia kwa Abu bakaris-swiddiq (r.a) kutokana na Mtume kumwambia awe khalifa wake katika sala  na kutokana na ij'mai ya maswahaba juu ya ukhalifa wake. Na wakaisahihisha baada ya ukhalifa wa Omar pia (r.a) kutokana na Ij'mai ya mashwaba (1) (Diraasaatul-islaamiyyah fiil-usuulil-ibaadhiyyah ukurasa 118-119.)

Na walisimama na kukoma kama vile makhawaariji kuhusiana na ukhalifa wa wakwe wawili  othmani na Ali na walio fuatia baada yao kati ya watawala wa bani umayyah na bani Abbas.

Na walikuwa na imamu wao maalum katika nchi ya (Oman) tangu karne ya tatu hijiria, na mlolongo wa uimamu wao bado upo unaendelea hadi hivi sasa.

Na maibadhi husisitiza katika vitabu vyao vingi juu ya kuwa wao sio katika makhawaariji hata kama watakuwa wanaungana nao katika baadhi ya itikadi.

Pia husisitiza juu ya kuwa wao wanawaheshimu wakwe wawili na wanaamini kuwa ni waadilifu, kwa sababu kuwatia makosa-kama wasemavyo-hakumlazimu mtu kuwa fasiki au kumkufurisha.

ISMAH

(KUHIFADHIKA NA KUTO TENDA DHAMBI)

Imamiyyah na Ismailiyya wanasema kuwa imamu ni sharti awe maasumi (asie tenda dhambi).

Na Allamah  Hilliy amesema: Ni wajibu imamu awe maasumu, (asie fanya dhambi) la sivyo italazimika kuwa na tasalsuli (silsila isiyo koma). Na matokeo au natija ni batili. Na utangulizi ni hivyo hivyo.

Ufafanuzi wa sharti hilo la ismah:

Hakika sababu na illa inayo walazimisha na kuwawajibisha kuweka imamu ni kuwa yawezekana mukallaf akafanya makosa au akakosea katika mwenendo wake.

Kwa hivyo lau kama ingejuzu kwa imamu kukosea inge wajibika amuhitajie imamu mwingine ili awe ni lutfu kwake na kwa umma pia, na silsila hiyo kuendelea bila kukoma). Nahjulmustarshidiina 58)

Na kwa muongozo wa aya hii isemayo :

( Çäí ÌÇÚáß ááäÇÓ ÇãÇãÇð ÞÇá æãä ÐÑíÊí ÞÇá áÇ íäÇá ÚåÏí ÇáÙÇáãíä )

(Hakika mimi nimekufanya uwe imamu kwa watu akasema na katika kizazi changu akasema  ahadi yangu haiwapati madhalimu) inakuwa ni dalili ya wazi ya kumteua na kumuainisha imamu na hiyo ni dalili ya kuthibitisha ya kuwa imamu huyo ni maasumu, kwa sababu uimamu-kama aya inavyo elezea wazi- ni ahadi ya Mwenyezi Mungu ambayo hampatiii ahadi hiyo mtu alie dhalimu.

Na kuhusu nukta hii imamu Zainul-aabidiin anaashiria kwa kusema:

ÇáÇãÇã ãäÇ áÇ íßæä ÇáÇ ãÚÕæãÇð¡ æáíÓÊ ÇáÚÕãÉ Ýí ÙÇåÑ ÇáÎáÞÉ ÝÊÚÑÝ¡ æáÐáß áÇ íßæä ÇáÇ ãäÕæÕÇð). 

(Imamu atokanae nasi hawi isipokuwa Maasumu (mwenye kuhifadhika na dhambi), na Ismah haiko juu ya maumbile au viungo na haiko dhahiri ili iweze kuonekana na kujulikana, kwa sababu hiyo ndio maana hawi imamu isipokuwa kwa kuchaguliwa na kuainishwa kwa dalili za wazi).

Pia walitoa dalili ya Aya ya Tat'hiiri (utwaharisho)  isemayo:

( æíØåÑßã ÊØåíÑÇð (ÇäãÇ íÑíÏ Çááøå áíÐåÈ Úäßã ÇáÑÌÓ Ãåá ÇáÈíÊ

(Kwa hakika si jambo jingine Mwenyezi Mungu anataka kukuondeleeni uchafu watu wa nyumba (ya Mtume) na kukusafisheni kikamilifu) Suuratul-ahzaab aya 33.

Kwa kuitolea maana kuwa makusudio ya uchafu ni madhambi, na ni kutokana na ukweli kuwa neno Rijsi lina maana ya uchafu wenye kuonekana kwa macho au uchafu wa kiroho, na hutumika kwa kitu kichukizacho na kibaya kisheria na katika maumbile yaliyo salama) (Al-usuulul-aammah 155 akinukuu kutoka kwenye kitabu Durrul-manthuur juzu 5 / 198.)

Na makusudio ya (Ahlul-baiiti): Ni Ali Fatuma Hasana na Husein, kutokana na ushahidi wa Hadithi ya Kisaa au Shuka iliyo pokelewa kutoka kwa Ummu Salamah (radhi za Alla ziwe juu yake): amesema: Aya hii ilishuka nyumbani kwangu:

(ÇäãÇ íÑíÏ Çááøå áíÐåÈ Úäßã ÇáÑÌÓ Çåá ÇáÈíÊ æíØåÑßã ÊØåíÑÇð  ð )

 na ndani ya nyumba kukiwa na watu saba: Jibrilu na Miikailu na Ali  Fatuma Hasan na Husein (Radhi za Allah ziwe juu yao) na mimi nikiwa kwenye mlango wa nyumba.

Nikasema: Je mimi sio katika Ahlil-baiti wako?

Mtume (s.a.w.w) akasema: Hakika wewe uko kwenye kheri, hakika wewe ni kati ya wakeze Mtume ) (usuulul-aammah 175)., kwa ushahidi wa hadithi ya maapizano iliyo pokelewa katika Sahihi Muslim juzu 7 / 121: Pindi aya hii ilipo shuka isemayo:

ÝÞá ÊÚÇáæÇ äÏÚõ ÃÈäÇ ÆäÇ æÇÈäÇÁßã æäÓÇÁäÇ æäÓÇÁßã ...) ÏÚÇ ÑÓæá Çááøå ÚáíÇð æÝÇØãÉ æÍÓäÇð æÍÓíäÇð¡ ÝÞÇá : «Çááåã åÄáÇÁ Ãåáí»(4).

(Sema kuwambia njooni tuwaite watoto wetu na watoto wenu na wanawake wetu na wanawake wenu …..) Mtume wa Mwenyezi Mungu alimuita Ali Fatuma Hasana na Husein, na akasema: Ewe Mwenyezi Mungu hawa ni ahli zangu (watu wa nyumbani kwangu).

 Na kutokana na kigezo kuwa kimoja inamaana aya hizo zinawajumuisha pia maimamu wengine tisa.

Na imelezwa katika kitabu kiitwacho (Nadhariyyatul-imaamah) cha Doctor Ahmad Mahmoud Subhiy ukurasa wa 16 akinukuu kutoka kwenye kitabu (Al-washiiatu) cha Musa Jaarullah na nassi ya maneno yake ni kama yafuatayo: (Sisi wanazuoni wa Fiqhi wa Ahli sunna wal-jamaa'ah twaizingatia sera ya mashekhe wawili Swiddiq na Faarouq kuwa ni asili inayo lingana au iliyo kuwa sambamba na Sunna ya Mtume yenye kuweka sheria katika kuthibitisha hukumu za kisheria katika maisha ya umma na katika kulindesha dola na serikali). Na kwamba Makhalifa walio ongoka ni Maasum wenye kuhifadhiwa na kuto tenda dhambi kama ismah ya Mtume Mursali).

Na wasimuliaji wao wa hadithi wameshikamana na kauli isemayo kuwa masahaba wote ni maasumiin na kwamba madhambi yao makubwa huhesabiwa kuwa ni madhambi madogo). (Angalia: Makala iitwayo (At-taarifu bil-awaaswim wal-qawaaswim) cha Basaam Abdil-wahhab Al-jaabiy, Majallatul-baswaair, toleo namba tano ukurasa 123).

Na jambo lililo maarifu kwa Ahli sunna  na hivyo hivyo Zaidiyyah na Ibadhi ni kuwa wanasema kuwa miongoni mwa masharti ya imamu ni kuwa nilazima awe muadilifu.

Wakatofautiana kuhusiana na jambo la kutoka dhidi yake ikiwa yatadhihiri kutoka kwake mambo yatakayo kuwa yakipingna na uadilifu anao takiwa kuwa nao, Zaidiyyah na Ibadhi wakasema ni lazima kutoka dhidi yake.

Na madhehebu ya hanbali ambao ni katika Ahli sunna wakasema ni haramu kutoka dhidi yake na kumuasi,  Abul-hasan Al- ash'ariy amesema (ambae ni mfuasi wa madhehbu ya Hanbali): Na tuonavyo ni kuwa nikuwaita maimamu wa waislaam kwa wema na kukubali uimamu wao na kumuhukumu kwa upotovu mwenye kuona na kusema kuwa ni lazima kutoka dhidi yao ikiwa wataonekana wakifanya vitendo vionyeshavyo kuwa wametoka kwenye njia ya sawa, nasisi tunafuata mwenendo wa kuto toka dhidi yao kwa upanga). (Al-ibaanah ukurasa 11)